Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
"Tuviheshimu sana vilabu vyenye viwanja vyao na tuwaunge mkono, Azam FC, Mtibwa Sugar, IHEFU kabla ya kuuzwa na kutelekeza uwanja na JKT Tanzania, angalia Simba SC wanavyodhalilika ma viwanja vya CCM vya zamani vimechoka na miundombinu hafifu."
"Simba nao hawana kiwanja lakini wamekuwa wakikwepa kwepa kwenda Chamazi bila sababu za msingi, wanasahau masikini hanaga kiapo wala chaguo. Lakini hii mechi ya Simba Vs Tanzania Prison mbona production ilikuwa Superb au kuna jambo jingine kuhusu MBANGULA? Naingia kazini, nikipata stori kamili ntarejea tena."
©️ Jemedari Said
Mchambuzi wa kituo cha EFM ✍️
"Simba nao hawana kiwanja lakini wamekuwa wakikwepa kwepa kwenda Chamazi bila sababu za msingi, wanasahau masikini hanaga kiapo wala chaguo. Lakini hii mechi ya Simba Vs Tanzania Prison mbona production ilikuwa Superb au kuna jambo jingine kuhusu MBANGULA? Naingia kazini, nikipata stori kamili ntarejea tena."
©️ Jemedari Said
Mchambuzi wa kituo cha EFM ✍️