Jematangazo ya pombe katikati ya habari ni sahihi kimaadili?

Jematangazo ya pombe katikati ya habari ni sahihi kimaadili?

Ipo kero ambayo isiposemwa basi itaonekana ni utamaduni na desturi.Je uwepo wa matangazo ya pombe yanayowekwa na kuikatiza taarifa ni sawa kimaadili?
As Long As wanamalizia Tangazo na angalIzo hili" Drink Rseponsibly and Not for Sale to Persons Under 18 Years Old" then hakuna tatizo lolote hapo. Tuache watu waburudike kama wana change zao.
 
Ipo kero ambayo isiposemwa basi itaonekana ni utamaduni na desturi.Je uwepo wa matangazo ya pombe yanayowekwa na kuikatiza taarifa ni sawa kimaadili?
Ni tangazo la biashara. It just happened kwamba hiyo biashara ni ya pombe!
 
Mbona pombe mnaiandama hivo?

Mbona hamzungumzii matangazo ya kubeti Kati kati ya habari?

Au kubeti skuhz nayo ni maadili yetu watanzania?
 
Hii ni mbaya sana kwa malezi ya watoto ,mkiwa na familia mnatazama taarifa ya habari kwenye Tv mara ghafla katikati ya yaarifa yanaibuka..matangazo ya pombe ,HUWA nabadilisha fasta ,na kuwambia watoto wasitazame mambo ya shetani.
KWA UJUMLA KTELEVISHENI TV NYUMBANI NI BOMU KUBWA KATIKA MALEZI YA WATOTO.
Maudhui yanayorushwa kwenye vipindi hata vya watoto katuni za watoto,na tamthilia sinema ,nyimbo n.k..kuna nguvu ama roho za giza zinaweza kuwapata watoto kupitia IBADA au MASOMO wanayoyapata KUPITIA MAUDHUI wanayotazama kwenye TV
Madhara ni makubwa katika ulimwengu wa KIROHO kudhihirika katika kimwili kimaadili.

Watu wa Mungu walezi na wazazi hii ni chamgamoto..Tuwaelimishe watoto waelewe mabaya na mema,na athari zake ,wajue mambo mema yanayompendeza Mungu na yale mambo maovu ya adui yao Shetani anayoyaleta katika utandawazi kama Tv ili kuwanasa ROHO za watoto kuwapeleka kutenda dhambi ,mawazo machafu,tabia mbaya ili wamkosee Mungu na wapotee waharibikiwe mwisho waende MOTONI.
watoto wachukie mambo ya shetani wachukie dhambi na wjue madhara yake,wampende Mungu na kumtii.
Wajue kusali na njia za Mungu ingali wadogo wajue mitego yote ya shetani,wajue kuomba kusali ,ibada,
 
Sio Lazima Wewe Kutazama Kituo chenye matangazo usiyoyataka.

Maadili hayaletwi na Vinywaji kuwa ukitangaziwa biashara ya maji au soda ndo unakuwa mtu wa Maadili,Ama ukitangaziwa pombe unakuwa Huna Maadili....Badilisha tu channel, zipo channel nyingi sana za dini .
 
Ni tangazo la biashara. It just happened kwamba hiyo biashara ni ya pombe!
As Long as Ni Biashara Halali na inalipa Kodi ya Nchi, we shouldnt be coming on their Way ! We need their Taxes which serve us both regardless of who are their customers, you inclusive ! UKIUZA TOA RISITI NA UKINUNUA DAI RISITI. KWA PAMOJA TUNAJENGA TAIFA LETU !
 
Mambo mengi nchi hii hayako sawa,angalia hata Azam TV (UTV) taarifa yao........kuna betting 24/7 kuanzia radio hadi television
 
Sio Lazima Wewe Kutazama Kituo chenye matangazo usiyoyataka.

Maadili hayaletwi na Vinywaji kuwa ukitangaziwa biashara ya maji au soda ndo unakuwa mtu wa Maadili,Ama ukitangaziwa pombe unakuwa Huna Maadili....Badilisha tu channel, zipo channel nyingi sana za dini .
Maana ya taarifa ya habari ni nini?matangazo ya pombe na mazagazaga mengine ni taarifa ya habari?
 
Back
Top Bottom