Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Jamani hata kiswahili cha kawaida kinakushinda? sasa kofia na kilemba ni sawa?duh, kweli kipofu?
Halafu mimi simwombei mabaya huyu ndugu lakini anaonyesha ana ukaidi wa nature kwa sabbu tayari alikuwa na kesi ya kusababisha fujo.Huwezi jua background yake.....