Ezbon Mujuni (28) mkazi wa kijiji cha Bunazi Wilaya ya Missenyi Mkoa wa Kagera amehukumiwa kwenda jela miaka 20 kwa kosa la kuchimba na kuiba nguzo 3 za umeme na nyaya zenye thamani ya Tsh. 11,536,357
Mshtakiwa alitenda kosa hilo Julai 21, 2024 katika kijiji cha Nyakahama Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera na kukamatwa na Jeshi la Polisi na kufikishwa Mahakamani Disemba 20, 2024
Hukumu imetolewa jana Julai 15, 2025 mbele ya Daniel Nyamkerya ambaye ni Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Muleba
Chanzo: EAST AFRICA TV
Mshtakiwa alitenda kosa hilo Julai 21, 2024 katika kijiji cha Nyakahama Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera na kukamatwa na Jeshi la Polisi na kufikishwa Mahakamani Disemba 20, 2024
Hukumu imetolewa jana Julai 15, 2025 mbele ya Daniel Nyamkerya ambaye ni Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Muleba