mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Mhh huyu anatutia aibu wanaume!
Kwa kawaida kina dada wengi wanajisikia kumpata mume aliobora
Kwa akina dada jeee unafurahia kumpata mtu wa aina hiii au unachukia?
Na jeee wanaume munafurahia hii hali ya kuwasaidia familia zenu au kwenu ni ubwege?
Big up bro....wanaume kama wewe tupo wengi ila inauma tu pale wewe (mwanaume) unafanya kazi kama hizi then mkeo yuko guest na mkata kucha. Akirudi anakuambia leo Muhimbili foleni kwelikweli.
sio limbwata ni mapenzi ya dhati.hapo naona limbwata linahusika sana tu c bure
Pole zao walio kwenye ndoa maana hiyo scenario kwa kweli ni ngumu kumeza.
Afadhali sie ambao hatuko kwenye ndoa maana focus yako inakuwa kwa mtoto tu basi.
Nimempenda mtoto wa mgongoni tuu! Kufanya hivyo si kipimo cha chote!
Eee bwana mbona unaniumiza kihivyo? Mi nampenda sana mke wangu na niko tayari kumpikia muda wowote. Simpiki kwa sababu tu yeye ni mke wangu ila nalipiza fadhila kwake maana what she does for me is beyond my imagination. Ni mtu wa kuigwa haswa mke wangu na ni bahati kwangu maana angekuwa kiruka njia na jinsi ninavyojituma kufanya kazi nyumbani sijuwi ingekuwaje na hizi hasira zangu.Pole zao walio kwenye ndoa maana hiyo scenario kwa kweli ni ngumu kumeza.
Afadhali sie ambao hatuko kwenye ndoa maana focus yako inakuwa kwa mtoto tu basi.
Kwa kawaida kina dada wengi wanajisikia kumpata mume aliobora
Kwa akina dada jeee unafurahia kumpata mtu wa aina hiii au unachukia?
Na jeee wanaume munafurahia hii hali ya kuwasaidia familia zenu au kwenu ni ubwege?
hapo naona limbwata linahusika sana tu c bure