Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
wan jf natumaini mko salama wote
ninaomba kuwauliza wataalamu wa fani ya sharia kilichoandika na kusema ukioota ndoto Fulani kuhusu jambo fulani liwe zuri au baya dhidi ya mtu au nchi unatiwa hatiani.
tunaomba umakini wa kujibu hoja na kama we si mwanasheria pita tuu...
ahsanteni.....!!
ninaomba kuwauliza wataalamu wa fani ya sharia kilichoandika na kusema ukioota ndoto Fulani kuhusu jambo fulani liwe zuri au baya dhidi ya mtu au nchi unatiwa hatiani.
tunaomba umakini wa kujibu hoja na kama we si mwanasheria pita tuu...
ahsanteni.....!!