jee ni kifungu gani cha sheria kinachoweza kukutia hatiani kwa kuota ndoto...?

Olaigwanani lang

JF-Expert Member
Apr 26, 2012
541
175
wan jf natumaini mko salama wote
ninaomba kuwauliza wataalamu wa fani ya sharia kilichoandika na kusema ukioota ndoto Fulani kuhusu jambo fulani liwe zuri au baya dhidi ya mtu au nchi unatiwa hatiani.
tunaomba umakini wa kujibu hoja na kama we si mwanasheria pita tuu...
ahsanteni.....!!
 
W
wan jf natumaini mko salama wote
ninaomba kuwauliza wataalamu wa fani ya sharia kilichoandika na kusema ukioota ndoto Fulani kuhusu jambo fulani liwe zuri au baya dhidi ya mtu au nchi ******* hatiani.
tunaomba umakini wa kujibu hoja na kama we si mwanasheria pita tuu...
ahsanteni.....!!
We ni mwanasheria? Basi kama si mwanasheria na umepata ujasiri wa kuuliza, basi ngoja na wasio wanasheria wajibu. That way tutachanganua
 
wan jf natumaini mko salama wote
ninaomba kuwauliza wataalamu wa fani ya sharia kilichoandika na kusema ukioota ndoto Fulani kuhusu jambo fulani liwe zuri au baya dhidi ya mtu au nchi ******* hatiani.
tunaomba umakini wa kujibu hoja na kama we si mwanasheria pita tuu...
ahsanteni.....!!
Ndoto haisimuliwi hadharani kajaribu kuota umelala na mke wa Masai mwenye sime na mkuki halafu kamsimulie mume kuwa umeota unamgegeda mkewe usiku kucha non stop halafu uone huyo Masai atatumia kifungu gani cha sheria kukujibu
 
Back
Top Bottom