zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 818
- 535
Ningemwachia B kwa masharti kuwa lazima asaidie kubeba mtoto wa A...
Amoneyazan umenichekesha sanaMimi ninge "pisha" tu
Yaani ningeachia kiti kimyakimya najisogeza pembeni,
Msala nawaachia wao wenyewe waamue nani kati yao akae, sitaki lawama.
Mwanga lutila umetishaHakuna wa kumpisha hapo, wewe unajua uko hivyo halafu unasimamisha gari iliyojaa kwa kutegemea huruma za wengine kuwa watakupisha ukae....
Are you serious!? If so, achana na ushenzy huo wa status quo!Mwenye pesa, usicheze na pesa mkuu, mwenye pesa anaweza kumtoa kabisa huyo daktari asiendelee kutibu na mkakosa kabisa huduma