nadhani ni hadithi ya kutunga, lkn niruhusunisema iliyyomtokea kaka yangu ambayo ni kweli kabisa na shemeji alikuwa bomba sn, lkn alitoka mkoa wa pwani walikuwa wakiishi Gmboto alikuwa ni mlinzi wa kanisa la Lutherani pale Ukonga, akienda usiku kazini mama anaingiza jamaa, jirani wema kwa maneno niwengi lkn wakukupa mshiko uanze mradi wachache sn.
jamaa kajifanya anaenda kazini karudi saa 7 kamkuta jamaa, kubisha hodi mama akatafuta mahali pakumuweka akaona ni uvunguni alipofunguliwa akasema washataa mama akawa anawasiwasi, yeye akawasha, akachungulia uvunguni akamuona jamaa, akamwambia toka jamaa alipotoka kaka akasema mama lete chakula, kamkaribisha jamaa akasema nimeshiba, alipomalia kula akamwambia mkewe twendetusindikize mgeni, wakaenda umbali kama wa mita 200 akamwmbia karibu tena ndug yangu, hakumpiga mkewe wala hakumuuliza , siku yatatu mke akaenda kwa wazazi