Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
Sawa,chanzo cha uhai ni Mungu,lakini Mungu ni uhai?
Mungu kuwa ni uhai hakufanyi yeye awe ndio uhai
Kwani ni unadhani hakuna tofauti kati ya uhai na roho?
Hujui kama inawezekana mbwa yupo hai kwasababu ana uhai lakini sio kwamba ana roho?
Binadamu ana uhai lakini sio kwasababu ana roho bali ni kwasababu moja kati ya vilivyiunda roho ni uhai?
Hivi unajua kama kuna roho ya mauti?
Kama unadhani uhai ni roho pekee jua kuwa unajidanganya sana na unapaswa kufikiri zaidi!
Mkuu naona hatuelewani, unanijibu kwa yale uliyolishwa ambayo hata kwenye biblia hakuna!!!!!
Nimeuliza swali wewe unatoa maelezo!!!