Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Hivi hujawahi jua hao 'bodyguards' au "mabaunsa" ka usemavyo ni polisi special wa kazi ile na hata iwe rais hayuko tena, basi wale jamaa hupewa position zingine tofauti kila mmoja kwenye kitengo cha usalama kwa sababu bado ni askari na hawajafikia ku retire. Madame rais Samia anapewa team yake mpya ya ulinzi atakayokuwa nayo kipindi kile atakuwa ofisini. Na lazma yule askari jeshi anayesimama nyuma ya rais wakati wote, pahala popote, awe mwanamke sababu rais ni mke pia, hiyo ndio taratibu ya security ya rais nchi nyingi.
✌️
 
Kama kuna kazi yenye raha na hata changamoto ni hiyo ya kuwa right hand wa rais, raha tu pale, yaani kama rais wa nchi ni mtu wa kutembea nje ya nchi sana, basi wewe dunia utajua kama vile mtaa wako, kila sehemu uko naye, kila chakula uta experience, lugha tofauti za watu utazitabua hata kama kwa kiasi tu,ata connection utajitengenezea mwenyewe ukiwa msharp, ndio maana right hand wa rais wengi huwa wamesoma sana na wana mafunzo hataree
✌️
 
Mbwembwe tu asingeweza ata kuiwasha bastola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Mkanzabi ndiye mwenye wanae Oliva Mkanzabi , ambaye ni wakili ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…