MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kwa lugha nyepesi tu au kwa maana nyingine hapa nasema kuwa tujitahidi mno kabla hatujateuliwa nafasi yoyote au hata tukiteuliwa tu tuache Kuwatendea mabaya Watu kwani Mungu aliyekuumba Wewe ndiyo huyo huyo kawaumba na Wao.
Kuna mahala fulani hivi nimemuona Israeli kama vile anataka Kuondoka na Mtu, ila bado anasikilizia Order kutoka kwa Israeli Mkuu ambaye Yeye akiamua tu basi ni Sekunde unaondoka.
Sitaki Maswali ila naomba tusali mno. Wanasiasa na Wateule tafadhali jitahidini sana kutomkosea Mwenyezi Mungu hasa katika Matendo yenu.
Na kama mkinusurika na huyu Israeli ambaye kwa sasa namuoma hachezi sana mbali na eneo la Shule ya Jangwani na Tambaza, basi jueni kuwa mmepona ili mjifunze, mtubu upesi na mbadilike.
Kuna mahala fulani hivi nimemuona Israeli kama vile anataka Kuondoka na Mtu, ila bado anasikilizia Order kutoka kwa Israeli Mkuu ambaye Yeye akiamua tu basi ni Sekunde unaondoka.
Sitaki Maswali ila naomba tusali mno. Wanasiasa na Wateule tafadhali jitahidini sana kutomkosea Mwenyezi Mungu hasa katika Matendo yenu.
Na kama mkinusurika na huyu Israeli ambaye kwa sasa namuoma hachezi sana mbali na eneo la Shule ya Jangwani na Tambaza, basi jueni kuwa mmepona ili mjifunze, mtubu upesi na mbadilike.