General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,023
Wakuu eti wakili anaweza kukugeuka au kwa makusudi akasababisha ushindwe kesi kwa kushindwa kukutetea?
Nilipata kusikia wakili anavujisha siri na ushahidi wa mteja wake baada ya aliyekuwa anapambana nae kumtia mapesaa.
Hii imekaaje, Je naweza mshitaki?
Nilipata kusikia wakili anavujisha siri na ushahidi wa mteja wake baada ya aliyekuwa anapambana nae kumtia mapesaa.
Hii imekaaje, Je naweza mshitaki?