Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,205
- 3,055
Leo umejitahidi kuandika kiswahili kwa ufasaha tofauti na ile thread iliyopita...
Ila Kiswahili nakifahamu vizuri bro.Leo umejitahidi kuandika kiswahili kwa ufasaha tofauti na ile thread iliyopita...
Na ndomana tunafeliKujua mambo trivial kama haya ni kujaza ubongo bure tu. Useless
Asante piahCongo umejifunza wapi kiswahili kizuri hivi? Asante kwa kutujuza mengi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia kauli vyema,Huyu ndo yuleee jamaa wa NIULIZE CHOCHOTE KUHUSU NCHI YA MAREKANI aliyedai kule US watz hatuaminiki
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂mkuu unamtania au ndo kumpa kwel yake?maana tunaoruhusiwa kuwatania n cc jiran zao tuKwa mpare kama wewe itakusaidia nini hata ukitoka kwa ubahiri mlokua nao. Sijaona tofauti ya mpare tajiri na mpare maskini.....wote kande kwa kwenda mbele. Mkibadilisha ni vile visamaki vyenu vikavu sijui hata mnavitoaga wapi
Hahaaa ametishaamkuu unamtania au ndo kumpa kwel yake?maana tunaoruhusiwa kuwatania n cc jiran zao tu
Shida sio ubahili....Mpare anafundisha watu kua bahili.
Hakuna dola, wakati lile ni jiji ndani ya TZ.Je unajuwa zanzibar ni dola kamili?