Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
daaah ..ya mtu mzima inapungua kwenda wap ?
Jinsi mtoto anavyokuwa mifupa huanza kujiunga na kupungua idadi
daaah ..ya mtu mzima inapungua kwenda wap ?
Jinsi mtoto anavyokuwa mifupa huanza kujiunga na kupungua idadi
je wajua?.
The deepest point on the Earth is the 11.034 meters deep Mariana Trench
Je wajua mtu akikuandikia maneno kwa herufi kubwa ujue kakasirika
Kweki kwenye wengi pana mengihii ni kwelj kabisa .. hata mm binafsi hutumua Herufi kubwa kuonyesha ,kukasitishwa na kitu au kuweka msimamo kwenye jambo fulani .
Usingizi na kula mdio kitu pekee ambacho watu wote duniani wanakifanya
Sasa ndio ujue mkuu, ile unayoiona kwa nje kwa urefu wowote basi ndani kuna inchi 3 (tatu). Kwahiyo kama kwa nje inchi 5 ukiongeza na tatu za ndani jumla 8.Mmmh,,,,,,,,sijui