Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

ACHA UONGO HATA KAMA MUDY KARUHUSU

MUHAMMAD ALIRUHUSU WAISLAMU WOTE WATUMIE UONGO ILI KUUSAFISHA UISLAMU
Kasema Mtume (s.a.w) “Uwongo wote ni dhambi ila kwa kile kinachomfaa muislamu kwa jambo la kheri, unaweza kutumia uongo kupatanisha watu waliokhasimisna au katika jambo litakaloleta kheri na manufaa kwa waislamu” (Mkweli Mwaminifu, juu ya 3-4, Hadithi Na. 855, Uk 57)

Hivi unafahamu kuwa Uislam ulianzishwa na Muhammad na haukuwepo kabla yake?
Uislamu ambao ulianzishwa na Muhammad, Mtume wa Allah (s.w.t.) mnamo mwaka 610 A.D. huko Makka, na ulikamilishwa kwa msaada wa binamu yake, mshiriki na makamu wake, Ali ibn Abi Talib, mnamo mwaka 632 A.D. hapo Madina. Inahusisha kipindi cha miaka tisini kuanzia 570 A.D. wakati yeye Muhammad alipozaliwa huko Makka, hadi mwaka 661 wakati mrithi wake, Ali ibn Abi Talib, alipouawa huko mjini Kufah.
Hadithi 855 UK 57 ndo nini? Ama Sababu kuna quran unafkiri kuna kitabu kinaitwa Hadithi?
 
SHETANI ANAWAPULIZA WAISLAMU MATAKONI JAMA
(KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42
)
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”.
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

AKISHAKUPULIZA USIKU ANAKUJA TENA KULALA NDANI YA PUA ZENU WAISLAMU
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye
 
uislsmu umekuja mwaka 600AD, sayansi ipo before uislamu... leo unadanganya, unapozungumzia ELIMU dunia, uislamu upo nyuma sana

The word alchemy comes from Old French alquemie, alkimie, used in Medieval Latin as alchymia.

View attachment 1760582
Alchemy inatokana na Neno la kiarabu kīmiyāʾ, ndo maana mpaka leo kiswahili Inaitwa Kemia, ambalo Hilo Neno lake linatokana na Neno la Ki Egpty Khemi linalomaanisha Black/nyeusi


Na mkuu nati zimelegea kichwani? Neno Alchemy zinahusiana nini na picha ulizo weka?
 
ACHA UONGO HATA KAMA MUDY KARUHUSU

MUHAMMAD ALIRUHUSU WAISLAMU WOTE WATUMIE UONGO ILI KUUSAFISHA UISLAMU
Kasema Mtume (s.a.w) “Uwongo wote ni dhambi ila kwa kile kinachomfaa muislamu kwa jambo la kheri, unaweza kutumia uongo kupatanisha watu waliokhasimisna au katika jambo litakaloleta kheri na manufaa kwa waislamu” (Mkweli Mwaminifu, juu ya 3-4, Hadithi Na. 855, Uk 57)

Hivi unafahamu kuwa Uislam ulianzishwa na Muhammad na haukuwepo kabla yake?
Uislamu ambao ulianzishwa na Muhammad, Mtume wa Allah (s.w.t.) mnamo mwaka 610 A.D. huko Makka, na ulikamilishwa kwa msaada wa binamu yake, mshiriki na makamu wake, Ali ibn Abi Talib, mnamo mwaka 632 A.D. hapo Madina. Inahusisha kipindi cha miaka tisini kuanzia 570 A.D. wakati yeye Muhammad alipozaliwa huko Makka, hadi mwaka 661 wakati mrithi wake, Ali ibn Abi Talib, alipouawa huko mjini Kufah.
Hapa ndipo Mwamedi Mbakaji wa Mtoto Aisha anapozidi kuuchanganya huu umma wake

Wallah Mudy anachekesha sana.
 
Hujajibu swali langu, Ibrahimu alikuwa dini gani ? Sasa kama jins linatokana na Yuda,na Ibrahimu alikuwa wa zamani sana hata huyo Yuda hakuwahi kumuona Ibrahimu. Nataka unipe ushahidi ya kuwa Ibrahimu alikuwa nani na Uyahudi ulianza lini na ukianzishwa na nani...?

Sasa maana yake Wayahudi hawapo sasa,kama wapo nipe chain yao ya uzao mpaka ifike kwa nabii Ibrahimu.

Sasa niambie Ibrahimu ana uhusiano gani na Uyahudi ?

Kiebrania walimuelezeaje Ibrahimu ? Hili andiko "Mwanzo 14 : 13" limeonyesha wapi ya kuwa Ibrahimu alikuwa Myahudi ? Au mimi sijui kusoma.

Mwanzo 14:13 BHN​

Mtu mmoja aliyeponyoka, akaenda kumwarifu yule Mwebrania Abramu ambaye alikuwa anaishi karibu na mialoni ya Mwamori Mamre. Mamre alikuwa ndugu yake Eshkoli na Aneri. Wote walikuwa wamefanya agano na Abramu.
WACHA MUNGU TANGU KUUMBWA KWA ULIMWENGU WANAITWA ISRAELI NA SIYO WAISLAMU USHAHIDI HUU HAPA
SWALI :
LETE ANDIKO NDANI YA Quran ama Biblia wacha Mungu Mungu tangu kuumbwa ulimwengu wanaitwa Waislamu badala ya Israeli
😁
😁

➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

✔
Quran 2:40-41
40. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi nitatimiza ahadi yenu, na niogopeni Mimi tu.
41. Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze Ishara zangu kwa thamani ndogo. Na niogopeni Mimi tu.
Ufafanuzi ya NENO ISRAELI NDANI YA QUR-AN YA WAISLAMU
ISRAILI MAANA YAKE NI
✔
Sultani wa Mungu
✔
Mpiganaji wa Mungu
✔
Askari wa Mungu
✔
Yakobo mwenyewe anaitwa Israeli mwanzo 32:28
✔
Wazao wake wanaitwa Israeli
➡
Kwa HIYO :ISRAELI MAANA YAKE MTU AU WATU WANAOMCHA MUNGU WA KWELI HUITWA ISRAELI POPOTE DUNIANI ( SOMA QURAN YAKO UTAELEWA)

1619045200807.png
 
MUHAMMAD NI NABII WA UONGO ALISEMA UKILA TENDE SABA ZA KUTOKA AJWA HUWEZI KUFA KWA SUMU WALA KUROGWA LAKINI MUHAMMAD ALIKUFA KWA SUMU NA ALIROGWA PIA KWA USHAHIDI HUU MUHAMMAD SI MTUME WA MWENYEZI MUNGU 100%

Imesimuliwa na Sa`d kuwa
Nilimsikia Mtume wa allah akisema, "Yeyote atakayechukua tende saba za Ajwa na kuzila asubuhi hataathiriwa na uchawi au sumu siku hiyo."
حَدَّثَنَا مُحَمَّدٌ، أَخْبَرَنَا أَحْمَدُ بْنُ بَشِيرٍ أَبُو بَكْرٍ، أَخْبَرَنَا هَاشِمُ بْنُ هَاشِمٍ، قَالَ أَخْبَرَنِي عَامِرُ بْنُ سَعْدٍ، قَالَ سَمِعْتُ أَبِي يَقُولُ، سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ ‏ "‏ مَنِ اصْطَبَحَ بِسَبْعِ تَمَرَاتٍ عَجْوَةٍ لَمْ يَضُرَّهُ ذَلِكَ الْيَوْمَ سَمٌّ وَلاَ سِحْرٌ ‏"‏‏.‏
Sahih al-Bukhari 5779 Juzuu ya 7 kitabu cha 71 Hadith 671

Abu Huraira aliripoti mjumbe wa Allah akisema, "Tende za ajwa zinatoka peponi na zina tibu sumu;na tunda lake ni aina ya mana na juisi yao ni dawa kwa jicho. ” Tirmidhi aliieneza.
وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: «الْعَجْوَةُ مِنَ الْجَنَّةِ وَفِيهَا شِفَاءٌ مِنَ السُّمِّ وَالْكَمْأَةُ مِنَ الْمَنِّ وماؤُها شفاءٌ للعينِ» . رَوَاهُ التِّرْمِذِيّ

لم تتمّ دراسته (الألباني) حكم :
Reference : Mishkat al-Masabih 4235
In-book reference : Book 21, Hadith 72
Hapa hujaonyesha uongo wa mtume,sababu kurogwa kwa mtume na kupewa sumu ni katika mitihani waliyokuwa wanapewa mitume,nabii Ayubu alipewa mtihani wa maradhi,nabii Yusufu alipewa mtihani wa kufitiniwa na ndugu zake,nabii Ibrahimu kadhalika siyo kwamba Mola hakuweza kuwaokoa la hasha.

Lakini swali la kujiulza je kweli tende hizo siyo kinga ? Jibu ni kinyume chake,kwamba watu wanazila na wanaepushwa na uchawi na hizo sumu. Kwahiyo bado hujaonyesha uongo wa Mtume na hujakosoa hizo hadithi kielimu zaidi ya kuthibitisha ya kuwa huna elimu juu ya mambo haya.
 
Hapa hujaonyesha uongo wa mtume,sababu kurogwa kwa mtume na kupewa sumu ni katika mitihani waliyokuwa wanapewa mitume,nabii Ayubu alipewa mtihani wa maradhi,nabii Yusufu alipewa mtihani wa kufitiniwa na ndugu zake,nabii Ibrahimu kadhalika siyo kwamba Mola hakuweza kuwaokoa la hasha.

Lakini swali la kujiulza je kweli tende hizo siyo kinga ? Jibu ni kinyume chake,kwamba watu wanazila na wanaepushwa na uchawi na hizo sumu. Kwahiyo bado hujaonyesha uongo wa Mtume na hujakosoa hizo hadithi kielimu zaidi ya kuthibitisha ya kuwa huna elimu juu ya mambo haya.
MTUME AU NABII AU MTUSHI WA MUNGU HAWEZI KUROGWA USHAHIDI HUU HAPA LAKINI MUHAMMAD ALIROGWA AKAWA HAJUI AYA ZIPI ZILITOKA KWA ALLAH WENU NA ZIPI ZINATOKANA NA NGUVU ZA UCHAWI KATI YA SURA YA 1 HADI 114 MUHAMMAD HAJUI IPI AYA NI YA ALLAH NA IPI NI YA UCHAWI USHAHIDI HUU HAPA ABDULLAH SALEH AL-FARSY UKRASA 977 CHAPA YA NANE PAMOJA NA HADITHI YA SAHIH AL-BUKHARI NAMBA JUMA ALLY MAYUNGA

KWANZA ALLAH ALIDANGANYA KUWA MUHAMMAD HATAROGWA LAKINI MUHAMMAD ALIROGWA VIBAYA NA ALIATHIRIKA NA NGUVU ZA UCHAWI MPAKA KUFA KWAKE
REJEA HII AYA
Quran 15:42(Allah akasema ) Hakika waja wangu, wewe shetani hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata
1619047682845.png
 
Hapa hujaonyesha uongo wa mtume,sababu kurogwa kwa mtume na kupewa sumu ni katika mitihani waliyokuwa wanapewa mitume,nabii Ayubu alipewa mtihani wa maradhi,nabii Yusufu alipewa mtihani wa kufitiniwa na ndugu zake,nabii Ibrahimu kadhalika siyo kwamba Mola hakuweza kuwaokoa la hasha.

Lakini swali la kujiulza je kweli tende hizo siyo kinga ? Jibu ni kinyume chake,kwamba watu wanazila na wanaepushwa na uchawi na hizo sumu. Kwahiyo bado hujaonyesha uongo wa Mtume na hujakosoa hizo hadithi kielimu zaidi ya kuthibitisha ya kuwa huna elimu juu ya mambo haya.
NJOO TENA HAPA MUHAMMAD SWT BAADA YA KUROGWA ALICHANGANYIKIWA AKAWA ANAITA OVYO OVYO
Anasema Mwana Aisha Mkewe Mtume (r.a) kuwa:"Yahudi mmoja aitwaye Labiid bin Al'aanswam alimroga Mtume (s.a.w) ikawa Mtume baadhi ya nyakati huchanganyikiwa akiita ovyo ovyo." (Sahih Muslim,Juzuu ya 4,uk.38-39)

REJEA TENA HAPA ALLAH ALIPOZIDIWA UJUZI NA HUYU MYAHUDI AKATAREMSHA AYA HII HAPA
😂
😂


Quran 5:51. Enyi mlio amini! Waislamu Msiwafanye #Mayahudi na #Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu

REJEA TENA HAPA MUHAMMAD ALISEMA NIMEKUWA MWENDAWAZIMU
Quran 15: 6. Na walisema: Ewe Muhammad uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe Muhammad ni mwendawazimu. REJEA HADITHI INASEMA HIVI
Muhammad akisema: O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu. "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Kitabu cha Madarasa Meja), na Ibn Sad, kutafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], ukurasa wa 225.
1619047965897.png
 
MTUME AU NABII AU MTUSHI WA MUNGU HAWEZI KUROGWA USHAHIDI HUU HAPA LAKINI MUHAMMAD ALIROGWA AKAWA HAJUI AYA ZIPI ZILITOKA KWA ALLAH WENU NA ZIPI ZINATOKANA NA NGUVU ZA UCHAWI KATI YA SURA YA 1 HADI 114 MUHAMMAD HAJUI IPI AYA NI YA ALLAH NA IPI NI YA UCHAWI USHAHIDI HUU HAPA ABDULLAH SALEH AL-FARSY UKRASA 977 CHAPA YA NANE PAMOJA NA HADITHI YA SAHIH AL-BUKHARI NAMBA JUMA ALLY MAYUNGA

KWANZA ALLAH ALIDANGANYA KUWA MUHAMMAD HATAROGWA LAKINI MUHAMMAD ALIROGWA VIBAYA NA ALIATHIRIKA NA NGUVU ZA UCHAWI MPAKA KUFA KWAKE
REJEA HII AYA
Quran 15:42(Allah akasema ) Hakika waja wangu, wewe shetani hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata
View attachment 1760830
Nani amekwambia kwamba mitume hawakutahiniwa ? Suala la kurogwa hilo linajulikana na maelezo yake nimekupa.

Tena nikakutolea mifano kadha wa kadha,mpaka nabii Issa ambaye kuna watu wana dai ya kuwa ni Mungu alitahiniwa,sasa utajiuliza tu mwenyewe kwa nyinyi mnao dai alisulubiwa vipi Mungu asulubiwe tena ? Sasa usihoji mambo kiupofu na kulazimisha uongo uwe ukweli,hapa hakuna nafasi hiyo.
 
NJOO TENA HAPA MUHAMMAD SWT BAADA YA KUROGWA ALICHANGANYIKIWA AKAWA ANAITA OVYO OVYO
Anasema Mwana Aisha Mkewe Mtume (r.a) kuwa:"Yahudi mmoja aitwaye Labiid bin Al'aanswam alimroga Mtume (s.a.w) ikawa Mtume baadhi ya nyakati huchanganyikiwa akiita ovyo ovyo." (Sahih Muslim,Juzuu ya 4,uk.38-39)

REJEA TENA HAPA ALLAH ALIPOZIDIWA UJUZI NA HUYU MYAHUDI AKATAREMSHA AYA HII HAPA
😂
😂


Quran 5:51. Enyi mlio amini! Waislamu Msiwafanye #Mayahudi na #Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu

REJEA TENA HAPA MUHAMMAD ALISEMA NIMEKUWA MWENDAWAZIMU
Quran 15: 6. Na walisema: Ewe Muhammad uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe Muhammad ni mwendawazimu. REJEA HADITHI INASEMA HIVI
Muhammad akisema: O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu. "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Kitabu cha Madarasa Meja), na Ibn Sad, kutafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], ukurasa wa 225.
View attachment 1760834
Naona unarudia kosa lile lile.
 
Nani amekwambia kwamba mitume hawakutahiniwa ? Suala la kurogwa hilo linajulikana na maelezo yake nimekupa.

Tena nikakutolea mifano kadha wa kadha,mpaka nabii Issa ambaye kuna watu wana dai ya kuwa ni Mungu alitahiniwa,sasa utajiuliza tu mwenyewe kwa nyinyi mnao dai alisulubiwa vipi Mungu asulubiwe tena ? Sasa usihoji mambo kiupofu na kulazimisha uongo uwe ukweli,hapa hakuna nafasi hiyo.
nabii gani alirogwa zaid ya mudy ?
 
nabii gani alirogwa zaid ya mudy ?
Kurogwa ni mtihani au si mtihani ? Nani alikwambia kwamba mitume hawatahiniwi na Mola wao ? Kupigwa kwa mitume na kuuliwa,je ule ni udhaifu au ? Au unadhani kwamba Mola wetu hakuweza kufanya mambo yakawa kinyume ?

Sijaona mwingine aliye rogwa.
 
Kurogwa ni mtihani au si mtihani ? Nani alikwambia kwamba mitume hawatahiniwi na Mola wao ? Kupigwa kwa mitume na kuuliwa,je ule ni udhaifu au ? Au unadhani kwamba Mola wetu hakuweza kufanya mambo yakawa kinyume ?

Sijaona mwingine aliye rogwa.
UKIONWA UNAROGWA WEWE NI DHAIFU KTK IMANI

NDIO MAANA HAKUNA NABII WA MUNGU AU MTUME ALIYEROGWA

NI DHAHIRI MUHAMMAD NI NABII WA UONGO

Hes 23:23​



Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
 
Historia isiyo kuwa na chain ni kama mazungumzo tu ya vijiweni,ndiyo maana dini zenu zinakapotoshwa sababu hazina chain.

Unajua nini kuhusu Hadithi ? Isiwe unaelewa Hadithi ya hapa ni kama zile za Esopo au Sinderela hapa tunaongelea Hadithi kwa istilahi ya kisheria.

Hakuna nabii wala Mtume wa Allah katika uso huu wa dunia ambaye hakuwa Muislamu.

Nakuacha na swali hili,Ibrahimu alikuwa ni dini gani au alikuwa anawafundisha watu nini ?
Baba wa Imani unasema alikuwa Dini gani tena!? Hivi unajua Uislam ulianza lini duniani?
 
Back
Top Bottom