JE WAJUA?.....MENDE

JE WAJUA?.....MENDE

Konzo Ikweta

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2013
Posts
745
Reaction score
1,504
Inatajwa kuwa Mende walikuwepo duniani miaka milioni 120 iliyopita,kabla ya wanyama wakubwa kama vile Dinosaurs na bado hajawahi kupotea.Mende ni mdudu anayetajwa kuwa anauwezo wa kuishi siku tatu (3) akiwa anekatwa kichwa,anaweza kutembea na kuhisi kama mbele kuna hatari.

Kuna vitu ambavyo vinamfanya Mende aishi akiwa hana kichwa,sababu kubwa ni kutokuwa na "Moyo" ambapo kazi kubwa ya moyo ni kusukumwa damu mwilini.Hivyo Mende hana damu kama ilivyo pia kwa Nzi ambaye pia anauwezo huo wa kuishi akiwa hana kichwa na anakuwa na uelekeo mzuri zaidi akiwa anapaa tofauti na akiwa na kichwa.

#Note:- Kuamini haya inakupasa ufanye majaribio kwa viumbe hivyo.
 

Attachments

  • IMG_20250904_053451_797.jpg
    IMG_20250904_053451_797.jpg
    8.6 KB · Views: 10
  • IMG_20250904_053451_797.jpg
    IMG_20250904_053451_797.jpg
    8.6 KB · Views: 13
Ninachomshukuru sana Mende ni kuruhusu mkao wa kifo chake kitumike kama style pendwa ya kutiana, hii style hata viongozi wa dini wanaibariki kwa mikono miwili mapadri na masheikh

Tuseme nini basi kwa Mende zaidi ya kushukuru?
 
Ninachomshukuru sana Mende ni kuruhusu mkao wa kifo chake kitumike kama style pendwa ya kutiana, hii style hata viongozi wa dini wanaibariki kwa mikono miwili mapadri na masheikh

Tuseme nini basi kwa Mende zaidi ya kushukuru?
🤣🤣🤣
Naishia tu kusema kila mtu na akili zake
 
Mi naona ht labda nimekuja duniani kutokana na kifo cha mende...ngoja ntamuuliza Mzee siku akilewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ninachomshukuru sana Mende ni kuruhusu mkao wa kifo chake kitumike kama style pendwa ya kutiana, hii style hata viongozi wa dini wanaibariki kwa mikono miwili mapadri na masheikh

Tuseme nini basi kwa Mende zaidi ya kushukuru?
Ha ha ha ha
 
Inatajwa kuwa Mende walikuwepo duniani miaka milioni 120 iliyopita,kabla ya wanyama wakubwa kama vile Dinosaurs na bado hajawahi kupotea.Mende ni mdudu anayetajwa kuwa anauwezo wa kuishi siku tatu (3) akiwa anekatwa kichwa,anaweza kutembea na kuhisi kama mbele kuna hatari.

Kuna vitu ambavyo vinamfanya Mende aishi akiwa hana kichwa,sababu kubwa ni kutokuwa na "Moyo" ambapo kazi kubwa ya moyo ni kusukumwa damu mwilini.Hivyo Mende hana damu kama ilivyo pia kwa Nzi ambaye pia anauwezo huo wa kuishi akiwa hana kichwa na anakuwa na uelekeo mzuri zaidi akiwa anapaa tofauti na akiwa na kichwa.

#Note:- Kuamini haya inakupasa ufanye majaribio kwa viumbe hivyo.
KWA SISI MAJINIASI TUNASEMA ELIMU ULIYO TOA NI TATANISHI KWA SABABU KUNA MAMBO MAWILI
1)MENDE KUISHI BILA YA KICHWA au
2)MENDE KUISHI BILA YA KIWILIWILI?
 
Ninachomshukuru sana Mende ni kuruhusu mkao wa kifo chake kitumike kama style pendwa ya kutiana, hii style hata viongozi wa dini wanaibariki kwa mikono miwili mapadri na masheikh

Tuseme nini basi kwa Mende zaidi ya kushukuru?
Kama wanandoa wana matatizo ya kupata mtoto, huwa wanaulizwa mnafanyaje
Kama kifo cha mende hakipo kwenye listi, hapo hapo dokta anaandika kwenye cheti cha dawa kifo cha mende kama ni prescription mliyopewa.....
 
Back
Top Bottom