Je, wajerumani ni aliens?

Umesema sahihi kabisa
 
Wajerumani si Aliens bali ni moja ya jamii inayoangoza ULAYA kwa watu wake kuwa na INTELLIGENCE {uwezo mkuwa wa ufahamu na maarifa} kama zilivyo jamii za ASIA za Koreans na Japanese
Hiv unawezaje kujenga jamii ikawa na huo uwezo Wa intelligence kubwa kichwani . huenda na bongo tujifunze hii
 
The Aryan race,the best race in the world.Wajerumani Wanasema mungu alipoanza kuumba binadamu duniani,alianza kuwaumba wao kwanza.Naweza kubaliana nao,jaribu kufikiri hawa jamaa wamepigana na kuchangiwa na dunia nzima mara mbili.na baada ya muda kidogo wanarudi juu tena.Sasa hivi uchumi wao ndo bora ulaya,kimichezo,kijeshi,ubora wa bidhaa za viwanda,kiurefu na miili mikubwa,kila kitu.Watu pekee ninao waona katika dunia hii wanaweza kushindana na mjerumani ni wajapani..hii nayo ni namba mbaya
 
Hitler kawasaidia sana, kawapa misingi mizuri kiasi kwamba mpaka leo hawajatetereka!!
 
Sidhani ni wakaida coz tofauti na benz na Volkswagen hawana usafiri mwingine wa maana, angalau ungesema British ni tofauti ningekuelewa till today the best military vehicle ni jeep na land rover, kuna kitu umekimiss uhusiano wa Germany na Jews ukifatilia utaona sio kwamba wanauwezo sana isipokua ni wabaguzi sana na wanajiona watofauti na wenzao ila ukweli ni taifa la kawaida tu ulaya huwezi kulilinganisha na China wala Japan, ndio taifa linatumia He cjui kama kuna jingine, walikua wazuri kwenye umeme but tangu wakorofishe Jews wamebaki na urefu wa mwili tu.
 
German machine never cease
If cease never die .
Watoto wa Hitler ni noma sana
Ujerumani ilipiga bara zima la ulaya katika kipindi cha vita ya pili ya dunia
 
Warumi (italy) wametawala dunia zaidi ya karne nzima hao mabwege ata kuwa super power hawajawahi kuwa, mimi nilifikiri unazungumzia urusi au marekani
Ila katika utawala wao upinzani mkubwa walikuwa wanaupata kutoka kwa wajerumani
 
Mjeruman alikuwa zamani vitu vyake vya zamani vilikuwa na thamani kubwa kwa sasa hivi hana kitu cha maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…