ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Habarini wana jf. Kupitia maelezo mengi ya viongozi wa ccm na makada wao, huiaminisha jamii kuwa kwa vile ccm ni chama tawala,na ccm ndo inaunda serikali, basi wafanyakazi wa serikali wapo chini ya ccm. Je hili lipoje? Na kama sheria zetu zina mapungufu nini kifanyike?. My take: jambo hili lisipowekwa sawa linaweza pelekea vurugu kwenye taifa letu. Kwa sababu wafanyakazi hulipwa kwa kodi za wananchi wa vyama vyote na hata wasio na chama! Nawasilisha.