Duhhh...Kwa mwandiko huu huna uwezo wa kumkopa mtu hata 5,000
Dah mkuuKwa mwandiko huu huna uwezo wa kumkopa mtu hata 5,000
Mkuu nakishauri umdai kesho mambo yatakuwa tayariWakubwa nisaidie hapa hivi ni kweli mpaka leo tarehe 26/4/2021 Wafanyakazi wa Benki ya NMB hawajalipwa mishahara yao au Napigwa sound maana kuna Mtu namdai sh.200,000/= anafanya kazi kwenye hiyo benki Karibu mwezi ananizungusha kunilipa deni na Mara ya mwisho nimembana juzi alhamisi akasema ijumaa Wanalipwa Mishahara so wakishalipwa Tu ananitumia pesa yangu cha ajabu mpaka leo Kimya.....Naomba kuuliza je ni kweli Mpaka leo mshahara wao haujaingia au Ndo naanza kupigwa kalenda tena???
Mzee wa kerege msamehe bure tusije hisi wewe ndio mdaiwa.Kwa mwandiko huu huna uwezo wa kumkopa mtu hata 5,000
Samahani mkuu kwa kukwazika.Punguza utoto mkuu mambo mengine yanaitaji userious
Hahaaaa we jamaa utakua teller namba 7 wa NMBKumdai mtu sio lazima umkopeshe.....jiongeze acha pupa.
Hujui, watu wasiojua kusoma vizuri au kuandika vizuri ndio mabingwa wa kumikiki Vibunda mzee.Kwa mwandiko huu huna uwezo wa kumkopesha mtu hata 5,000
Atakua Yanga damu huyoSamahani mkuu kwa kukwazika.
Huyo mtu wa NMB amekujaje kukukopa ropo ropo na masikini kama ww ...!!???Wakubwa nisaidie hapa hivi ni kweli mpaka leo tarehe 26/4/2021 Wafanyakazi wa Benki ya NMB hawajalipwa mishahara yao au Napigwa sound.
Maana kuna Mtu namdai sh.200,000/= anafanya kazi kwenye hiyo benki Karibu mwezi ananizungusha kunilipa deni na Mara ya mwisho nimembana juzi alhamisi akasema ijumaa Wanalipwa Mishahara so wakishalipwa.
Tu ananitumia pesa yangu cha ajabu mpaka leo Kimya. Naomba kuuliza je ni kweli Mpaka leo mshahara wao haujaingia au Ndo naanza kupigwa kalenda tena?
Lipa tu deni mzee kwani amekutaja jina?Huyo mtu wa NMB amekujaje kukukopa ropo ropo na masikini kama ww ...!!???
hakika alipotea njia manake laki mbili hela ya beer umemuanzishia mtu uzi....
na hata mwezi haujaisha bado!!??
Mwambie aweke namba nimtumieLipa tu deni mzee kwani amekutaja jina?
Mlivunja kikoba?Kumdai mtu sio lazima umkopeshe.....jiongeze acha pupa.