Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wananchi nawasabahi,
Kabla ya mfumo wa vyama vingi kulikuwa na chama kimoja cha siasa nacho ni CCM, hivyo CCM haikuwa na chama rafiki kwa humu nchini.
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuruhusiwa kukaanzushwa na kusajiliwa vyama vingi vya siasa na vyote vikajinasibu ni vyama vya upinzani kwa maana dhidi ya CCM kwani ndio chama tawala.
Juzi CCM imetangaza kukutana na vyama rafiki vya hapa nchini je, vyama hivyo ni vipi? Je, ndio hivyi hivyi vinavyojiita vyama vya upinzani wakati wa mfumo ulipoanzishwa kwa upande mwingine?
Mwenye orodha ya vyama rafiki na CCM atujuze. Aulizae ataka kujua.
Kabla ya mfumo wa vyama vingi kulikuwa na chama kimoja cha siasa nacho ni CCM, hivyo CCM haikuwa na chama rafiki kwa humu nchini.
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuruhusiwa kukaanzushwa na kusajiliwa vyama vingi vya siasa na vyote vikajinasibu ni vyama vya upinzani kwa maana dhidi ya CCM kwani ndio chama tawala.
Juzi CCM imetangaza kukutana na vyama rafiki vya hapa nchini je, vyama hivyo ni vipi? Je, ndio hivyi hivyi vinavyojiita vyama vya upinzani wakati wa mfumo ulipoanzishwa kwa upande mwingine?
Mwenye orodha ya vyama rafiki na CCM atujuze. Aulizae ataka kujua.