Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Watu wengi makazini shuleni na sehemu zingine hawajui haswa wanatakiwa programu gani kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya kazi zao za siku zote kutokana na ujuzi au utaalamu wake mfano mfamasia anatakiwa awe na programu yake maalumu kwa ajili ya masuala yake ya ufamasia , dakatari wa meno , fundi wa magari na kadhalika
Katika mfululizo wa makala za Unatakiwa kutumia nini najaribu kupata programu mbali mbali kuzifanyia kazi na kuandika kidogo kuhusu programu hizo kwanza tutaanza na hizi chache ambazo zinajulikana na watu wengi na vile vile rahisi kuzipata kwa nchi za afrika ya mashariki .
Kuna wale ambao kazi yao ni kuandika tu mambo mbali mbali unaweza kutumia programu za office kuanzia microsoft office 2003 mpaka 2007 ingawa sasa hivi kuna toleo jipya la office 2008 profesional hii haijaanza kusambazwa rasmi katika nchi za afrika ya mashariki hizo nilizotaja kuanzia 2003 mpaka 2007 ni rahisi kupatikana kwa mjini
Ndani ya office 2007 profesional unapata vitu kama microsoft access hii ni kwa wale wa database , excell hii inahusu zaidi mambo ya hesabu inforpath , office onenote , publisher power point pamoja na microsoft project , project ina husu zaidi wahandisi utaona zaidi baadaye kama programu za microsoft zinakuwa garama sana kwako unaweza kujaribu open office hizo ni bure unahitaji muda wa kudownload tu .
Sasa kama ni kazi za kuchapa unataka kulinda kazi zako unazoandika ufanye nini ? kuna programu kama Adobe Acrobat Proffesional 9 hili ndio toleo jipya ila zinazopatikana kwa wingi ni version 6 mpaka 7 , 8 ipo kuna watu wengine waliwahi kulalamika ina wasumbua kidogo mwaka jana sijaweza kujua hali ikoje mpaka sasa hivi kama usumbufu ni ule ule au la , naipenda 9 nimeitumia na kuona uzuri wake katika utendaji
Una documents zako unataka kuiweka katika mfumo wa pdf hiyo itafanya hivyo au unataka kuweka protection zingine zozote zile hiyo itafanya vyote hivyo unavyotaka wewe pamoja na kuweza kugeuza pdf kwenda word na kadhalika pia kuna tovuti inayoitwa www.pdfonline. com katika tovuti hiyo unaweza kufanya yote hayo ukiwa online .
Wakati mwingine umeshafanya kazi zako nyingi unataka kuzikusanya pamoja na kuhifadhi ufanye nini ? kuna programu inaitwa winrar , winzip programu hizi zinaweza kukusaidia kuzip files zako katika folder moja zijawahi kuona virus wanaoshambulia winrar ila wako wanaoshambulia winzip kwa urahisi au unaweza kuzihifadhi kwa kutumia programu nyingi inayoitwa folder lock .
Kama unatengeneza kurasa na vitu vingine vya kiofisi zinazohusu kurasa , ni vizuri utumie Adobe PageMaker kwa sasa kuna hadi version 7.5 , kuna microsoft Publisher , Corel Draw 12 , Adobe Illustrator ni wewe tu na utaalamu wako au utundu wa kuweza kuelewa vitu zaidi
Unaweza kupatiwa picha ukaambiwa upunguze hiki na kile , wengi wamezoea photoshop kwa sasa kuna hadi photoshop cs4 ambayo ni portable ukiwa na hii hauhitaji kuinstall inakuwa ndani ya flashdisk unaweza kuitumia moja kwa moja kama sio mtaalamu sana unaweza kutafuta paint shop kuanzia 9 na kuendelea au Corel paint
Hizo kazi zote unazozifanya zinatakiwa kupangiwa muda na wakati mwingine unapenda kupendezesha desktop yako unayofanyia kazi si ndio ? kuna programu inaitwa webshots hiyo ina sehemu ya muda , inakuletea picha za sehemu mbali mbali duniani toka katika mtandao wao ingawa unaweza kuweka zako pia au unaweza kutumia google desktop moja ya uzuri wa programu hii ni kwamba ina saa , ina sehemu ya kuangalia hali ya hewa ya sehemu mbali mbali , ina sehemu ya note pad ( kama unafanya kazi zako au unafanya maongezi hauhitaji tena note pad ya karatasi google desktop itakusaidia bila shida )pamoja na kisehemu cha kukukuletea habari zinazoendelea duniani katika mfumo wa rss feed , kutoka vyombo vya habari mbali mbali duniani hata breaking news
Ukiwa umekaa hapo hapo katika computer yako halafu unataka kutembelea maeneo mbali mbali duniani , unatakiwa utafute programu inayoitwa google earth , programu hii imeboreshwa zaidi katika nchi za ulaya na baadhi ya asia hata afrika lakini chache , ukitaka kujua hali ya hewa kilimanjaro na kujua kinachojiri kila baada ya muda fulani kwa picha za angani sio lazima uende kilimanjaro tena ukiwa na google earth unafanya yote hayo .
Kwa leo tunaishia hapo tuungane siku nyingine katika muendelezo wa makala hii ahsante kwa kusoma mpaka hapa
Kwa maswali au maelezo zaidi unaweza kuniandikia hollymaro@gmail. com Karibu
Katika mfululizo wa makala za Unatakiwa kutumia nini najaribu kupata programu mbali mbali kuzifanyia kazi na kuandika kidogo kuhusu programu hizo kwanza tutaanza na hizi chache ambazo zinajulikana na watu wengi na vile vile rahisi kuzipata kwa nchi za afrika ya mashariki .
Kuna wale ambao kazi yao ni kuandika tu mambo mbali mbali unaweza kutumia programu za office kuanzia microsoft office 2003 mpaka 2007 ingawa sasa hivi kuna toleo jipya la office 2008 profesional hii haijaanza kusambazwa rasmi katika nchi za afrika ya mashariki hizo nilizotaja kuanzia 2003 mpaka 2007 ni rahisi kupatikana kwa mjini
Ndani ya office 2007 profesional unapata vitu kama microsoft access hii ni kwa wale wa database , excell hii inahusu zaidi mambo ya hesabu inforpath , office onenote , publisher power point pamoja na microsoft project , project ina husu zaidi wahandisi utaona zaidi baadaye kama programu za microsoft zinakuwa garama sana kwako unaweza kujaribu open office hizo ni bure unahitaji muda wa kudownload tu .
Sasa kama ni kazi za kuchapa unataka kulinda kazi zako unazoandika ufanye nini ? kuna programu kama Adobe Acrobat Proffesional 9 hili ndio toleo jipya ila zinazopatikana kwa wingi ni version 6 mpaka 7 , 8 ipo kuna watu wengine waliwahi kulalamika ina wasumbua kidogo mwaka jana sijaweza kujua hali ikoje mpaka sasa hivi kama usumbufu ni ule ule au la , naipenda 9 nimeitumia na kuona uzuri wake katika utendaji
Una documents zako unataka kuiweka katika mfumo wa pdf hiyo itafanya hivyo au unataka kuweka protection zingine zozote zile hiyo itafanya vyote hivyo unavyotaka wewe pamoja na kuweza kugeuza pdf kwenda word na kadhalika pia kuna tovuti inayoitwa www.pdfonline. com katika tovuti hiyo unaweza kufanya yote hayo ukiwa online .
Wakati mwingine umeshafanya kazi zako nyingi unataka kuzikusanya pamoja na kuhifadhi ufanye nini ? kuna programu inaitwa winrar , winzip programu hizi zinaweza kukusaidia kuzip files zako katika folder moja zijawahi kuona virus wanaoshambulia winrar ila wako wanaoshambulia winzip kwa urahisi au unaweza kuzihifadhi kwa kutumia programu nyingi inayoitwa folder lock .
Kama unatengeneza kurasa na vitu vingine vya kiofisi zinazohusu kurasa , ni vizuri utumie Adobe PageMaker kwa sasa kuna hadi version 7.5 , kuna microsoft Publisher , Corel Draw 12 , Adobe Illustrator ni wewe tu na utaalamu wako au utundu wa kuweza kuelewa vitu zaidi
Unaweza kupatiwa picha ukaambiwa upunguze hiki na kile , wengi wamezoea photoshop kwa sasa kuna hadi photoshop cs4 ambayo ni portable ukiwa na hii hauhitaji kuinstall inakuwa ndani ya flashdisk unaweza kuitumia moja kwa moja kama sio mtaalamu sana unaweza kutafuta paint shop kuanzia 9 na kuendelea au Corel paint
Hizo kazi zote unazozifanya zinatakiwa kupangiwa muda na wakati mwingine unapenda kupendezesha desktop yako unayofanyia kazi si ndio ? kuna programu inaitwa webshots hiyo ina sehemu ya muda , inakuletea picha za sehemu mbali mbali duniani toka katika mtandao wao ingawa unaweza kuweka zako pia au unaweza kutumia google desktop moja ya uzuri wa programu hii ni kwamba ina saa , ina sehemu ya kuangalia hali ya hewa ya sehemu mbali mbali , ina sehemu ya note pad ( kama unafanya kazi zako au unafanya maongezi hauhitaji tena note pad ya karatasi google desktop itakusaidia bila shida )pamoja na kisehemu cha kukukuletea habari zinazoendelea duniani katika mfumo wa rss feed , kutoka vyombo vya habari mbali mbali duniani hata breaking news
Ukiwa umekaa hapo hapo katika computer yako halafu unataka kutembelea maeneo mbali mbali duniani , unatakiwa utafute programu inayoitwa google earth , programu hii imeboreshwa zaidi katika nchi za ulaya na baadhi ya asia hata afrika lakini chache , ukitaka kujua hali ya hewa kilimanjaro na kujua kinachojiri kila baada ya muda fulani kwa picha za angani sio lazima uende kilimanjaro tena ukiwa na google earth unafanya yote hayo .
Kwa leo tunaishia hapo tuungane siku nyingine katika muendelezo wa makala hii ahsante kwa kusoma mpaka hapa
Kwa maswali au maelezo zaidi unaweza kuniandikia hollymaro@gmail. com Karibu