youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Mara nyingi mi naweza kusema huwa tunajitafutia laana zisizo na sababu na hii inatokana na tamaa za kimapenzi, unakuta mtoto wa miaka 16, 17 anafanya mapenzi na kipindi hicho bado ni mwanafunzi alafu akipata mimba anaenda kutoa.
Mmama mzima anayejielewa anatoka nje ya ndoa (anachepuka) akipata mimba anaamua kunywa madawa ya kuifanya mimba itoke kwa kuhofia kuwa yule mtoto anaweza kufanana na yule mchepuko wake hivyo kumsababishia matatizo kwa mumewe.
Sasa mimi najiuliza, wakati unafanya mapenzi ulifikiri huna kizazi, au ulifikiri huyo mwanaume hawezi kukupa mimba
na je hakuna njia nyingine mbadala unayoweza kutumia zaidi ya kutoa mimba.
Mmama mzima anayejielewa anatoka nje ya ndoa (anachepuka) akipata mimba anaamua kunywa madawa ya kuifanya mimba itoke kwa kuhofia kuwa yule mtoto anaweza kufanana na yule mchepuko wake hivyo kumsababishia matatizo kwa mumewe.
Sasa mimi najiuliza, wakati unafanya mapenzi ulifikiri huna kizazi, au ulifikiri huyo mwanaume hawezi kukupa mimba
na je hakuna njia nyingine mbadala unayoweza kutumia zaidi ya kutoa mimba.