CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,255
- 12,872
Fikiria wewe ni binti (au mzazi wa binti) ambaye unataka/ anataka kuolewa na mwanaume ambaye hajasoma (illiterate) utakubali? Hebu tujadili wanajamvi... kama utakubali ni kwanini??? na kama hautakubali pia ni kwanini???