Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 4,465
- 4,613
Wasalaam
Nimemsikia mtu wa Mungu akitabiri laana kwa wote waliohusika kufunga kanisa la ufufuo na uzima watapata laana na kuumiuzwa na mungu.
Ikumbukwe mh Lema ameshatabiri mengi kuhusu viongozi na yakatokea. Amesema unaweza kufunga kanisa lakini si nguvu za mungu .,
Muda ni rafiki mwema tutege masikio.
Nimemsikia mtu wa Mungu akitabiri laana kwa wote waliohusika kufunga kanisa la ufufuo na uzima watapata laana na kuumiuzwa na mungu.
Ikumbukwe mh Lema ameshatabiri mengi kuhusu viongozi na yakatokea. Amesema unaweza kufunga kanisa lakini si nguvu za mungu .,
Muda ni rafiki mwema tutege masikio.