Tayari mkuu .....Wenzako huko wanalilia kila siku kumuangukia miguuni Putin ww unakujahapa na chogo lako eti Russia kasanda, subir mda mfupi tu mtakuja na maada za kuekewa vikwazo Urusi![]()
Mkuu upoRussia kasanda....***** kabip watu wamepiga...![]()
ulisema kweli tupu.jamaa kavamia na.NATO na US wamekunja mikia tuliii1. Putin hatabiriki. Hakuna uhakika wa100% kuwa ataivamia Ukraine ila pia haiondoi possibility kuwa anaweza kuivamia na USA na Nato wasifanye kitu.
2. USA ana matatizo ya kutosha na vita na superpower tena mwenye full support ya China na North Korea, sio kitu anachowaza. Ukraine sio member Nato, USA hana atakachopata Russia.
USA anaplay hardball tu kujaribu kufanya deterrence ila game ikibuma ataishia kwenye sanctions na Ukraine inaweza bebwa kirahisi tu!
#Paul Alex great thinker1. Putin hatabiriki. Hakuna uhakika wa100% kuwa ataivamia Ukraine ila pia haiondoi possibility kuwa anaweza kuivamia na USA na Nato wasifanye kitu.
2. USA ana matatizo ya kutosha na vita na superpower tena mwenye full support ya China na North Korea, sio kitu anachowaza. Ukraine sio member Nato, USA hana atakachopata Russia.
USA anaplay hardball tu kujaribu kufanya deterrence ila game ikibuma ataishia kwenye sanctions na Ukraine inaweza bebwa kirahisi tu!