Je, Urusi itaivamia Ukraine

Je, Urusi itaivamia Ukraine

1. Putin hatabiriki. Hakuna uhakika wa100% kuwa ataivamia Ukraine ila pia haiondoi possibility kuwa anaweza kuivamia na USA na Nato wasifanye kitu.

2. USA ana matatizo ya kutosha na vita na superpower tena mwenye full support ya China na North Korea, sio kitu anachowaza. Ukraine sio member Nato, USA hana atakachopata Russia.

USA anaplay hardball tu kujaribu kufanya deterrence ila game ikibuma ataishia kwenye sanctions na Ukraine inaweza bebwa kirahisi tu!
ulisema kweli tupu.jamaa kavamia na.NATO na US wamekunja mikia tuliii
 
Zelensky adai kuwa eti takribani wanajeshi 1300 wa Ukraine ndio wamekufa toka operesheni maalumu ya kijeshi ya Russia kuanza nchini Ukraine.

Mwambieni hiyo 'figure' yake abaki nayo mwenyewe, sisi hatuna shida ya kujua wanajeshi wake wangapi wamekufa. Tunachoangalia ni kufikia malengo makuu ya operesheni hiyo ambayo rais Putin alishayaweka wazi tena na tena.

SmartSelect_20220312-192800_Chrome.jpg
 
1. Putin hatabiriki. Hakuna uhakika wa100% kuwa ataivamia Ukraine ila pia haiondoi possibility kuwa anaweza kuivamia na USA na Nato wasifanye kitu.

2. USA ana matatizo ya kutosha na vita na superpower tena mwenye full support ya China na North Korea, sio kitu anachowaza. Ukraine sio member Nato, USA hana atakachopata Russia.

USA anaplay hardball tu kujaribu kufanya deterrence ila game ikibuma ataishia kwenye sanctions na Ukraine inaweza bebwa kirahisi tu!
#Paul Alex great thinker
 
Back
Top Bottom