Je ungeamua nini hapa....??!

thus right,uko sawa kabisa.
 
Natafuta kwanza mzinga wangu wa vodka huko wapi,then bastola yangu alafu nahakikisha nimelewa vizuru and at last kumlipua yeye na mimi pia kwitha kazi.
 
sasa nilishajua na ngoma nae ana ngoma basi nikula uttamu tuu mpaka mwisho
 
ntakachofanya ni kununua namba nyingine ya simu. halafu namtumia kisiri ili nione reaction yake. au najifanya na mimi ni muathirika. ili nione reaction yake!!
 
kama nampenda mupenz hiyo si tiket ya kuniachanisha nae hata kdg...hosp zipo tutaenda kupima km ndo hivyo yamaharabika dawa zipo.wangap wanasavaiv mtaan?hizo zilikuwa za enz hizo dawa hakuna.......kama imekukuta kuwa na moyo wa ujasiri et.....
 
Namimi nitaanza kuorodhesha majina ya nitakao kufa nao.
MP.
 
Mi nadhan itakubidi usubiri mie mi3 ipite ukapimwe kujua afya yako, lakn pia muliongelee suala hilo na mpnzio.
 


Msg ya kwenye simu haiwezi kubeba maneno yote hayo itaishia hapo kwenye bolded tu mengine yote hayatafika, so I will keep enjoying, lol.......... si unajuwa Jogoo hafi kwa utitiri.
 
Kaoge haraka. Jacob Zuma alikwenda kavukavu na mwathirika na baada ya kumaliza mechi upesi alikimbilia bafuni kuoga matokeo: hakupata ngoma. wahi.
 
Natafuta kwanza mzinga wangu wa vodka huko wapi,then bastola yangu alafu nahakikisha nimelewa vizuru and at last kumlipua yeye na mimi pia kwitha kazi.
...Itabidi ujiandae na moto wa milele jehanam
 
kama nampenda mupenz hiyo si tiket ya kuniachanisha nae hata kdg...hosp zipo tutaenda kupima km ndo hivyo yamaharabika dawa zipo.wangap wanasavaiv mtaan?hizo zilikuwa za enz hizo dawa hakuna.......kama imekukuta kuwa na moyo wa ujasiri et.....
ndiyo,inafaa ni maamuzi mazuri
 
Ina maana ujawahi ona msg 3 kuingia kwa mpigo?

Msg ya kwenye simu haiwezi kubeba maneno yote hayo itaishia hapo kwenye bolded tu mengine yote hayatafika, so I will keep enjoying, lol.......... si unajuwa Jogoo hafi kwa utitiri.
dah,umenivunja mbavu mzee.
 
Kaoge haraka. Jacob Zuma alikwenda kavukavu na mwathirika na baada ya kumaliza mechi upesi alikimbilia bafuni kuoga matokeo: hakupata ngoma. wahi.
ukute uko getto la mafichoni hakuna maji
 
Fast nakimbilia angaza kupima na kupata ushauri nasaha,kama -ve nasepa na kama ni +ve nampiga mkwara atulie kisha namuowa ili tuambukizane vizuri ss wawili



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…