Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,249
- 4,394
Habari za muda huu wana MMU.
Leo nimekuja kwenu na mada hii kutokana na mambo yanayoendelea ya watu kuuana na kufanyiana mambo mengi mabaya ikiwa chanzo kikuu kinachosikika ni kusalitiana.
Si jambo jema mtu kumsaliti mpenzi wake, mke/mme wake lakini kutokana na sababu mbalimbali inapelekea jambo hili kutokea,hivyo hatuwezi kulizua lisitokee.
Sasa tujadili njia za kushinda maumivu ya kusalitiwa ili ikitokea mtu kasalitiwa na kajua kua kasalitiwa au anahisi anasalitiwa afanye nini? Ili asije chukua maamuzi mabaya, maana maumivu hayo si ya kitoto eti...
Naomba michango yenu watu wachukue hatua gani ili kuepusha madhara au ulichukua hatua gani ulipogundua umeibiwa mtu wako? Tiririka.
Leo nimekuja kwenu na mada hii kutokana na mambo yanayoendelea ya watu kuuana na kufanyiana mambo mengi mabaya ikiwa chanzo kikuu kinachosikika ni kusalitiana.
Si jambo jema mtu kumsaliti mpenzi wake, mke/mme wake lakini kutokana na sababu mbalimbali inapelekea jambo hili kutokea,hivyo hatuwezi kulizua lisitokee.
Sasa tujadili njia za kushinda maumivu ya kusalitiwa ili ikitokea mtu kasalitiwa na kajua kua kasalitiwa au anahisi anasalitiwa afanye nini? Ili asije chukua maamuzi mabaya, maana maumivu hayo si ya kitoto eti...
Naomba michango yenu watu wachukue hatua gani ili kuepusha madhara au ulichukua hatua gani ulipogundua umeibiwa mtu wako? Tiririka.