The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 820
- 2,070
Ukiona mwanaume aliyeoa na bado anaujasiri wa kudhani kuwa anaweza kuishi bila huyo mke wake na mambo yakaenda poa tu basi ujue kuna mawili hapo.
Kuna shida kubwa kwa huyo mke au huyu mwanaume anashida ya akili. Binafsi kila siku naendelea kugundua kwamba siwezi na sintoweza bila mke wangu. Life will never be the same without her.
Huwezi kuamini, lakini sometimes nafasi ya wake zetu ni kubwa na muhimu sana kwenye maisha yetu kuliko nafasi yetu kwao. Ukilielewa hili itakusaidia.
Kuna shida kubwa kwa huyo mke au huyu mwanaume anashida ya akili. Binafsi kila siku naendelea kugundua kwamba siwezi na sintoweza bila mke wangu. Life will never be the same without her.
Huwezi kuamini, lakini sometimes nafasi ya wake zetu ni kubwa na muhimu sana kwenye maisha yetu kuliko nafasi yetu kwao. Ukilielewa hili itakusaidia.