Shilingi pande 2
Member
- Mar 9, 2023
- 6
- 3
Habar wanajamii, poleni na majukumu, Matumaini yangu mnaendelea vizur kwa wale wenye changamoto mbalimbali poleni.
Naomba kuuliza kitu kimoja, Je ukitaka kupata raman ya sehem husika unaipataje, Na kwa kiwanja ambacho kina block No na Plot No, unawezaje kujua raman ya hilo eneo.
Naomba kuwasilisha
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Naomba kuuliza kitu kimoja, Je ukitaka kupata raman ya sehem husika unaipataje, Na kwa kiwanja ambacho kina block No na Plot No, unawezaje kujua raman ya hilo eneo.
Naomba kuwasilisha
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app