Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,944
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amefunguka kuhusiana na kuaminiwa kusimamia mradi mkubwa wa ujenzi wa Standard Gauge pia akibainisha siku ya kuanza majaribio ya safari ya treni hiyo ya umeme ikitoka Dar es salaam kwenda Morogoro. NOVEMBAR MWAKA HUU TUNAWASHA....TANZANIA MPYA YA UTEKELEZAJI hongera kwa SERIKALI YA AWAMU YA TANO
Muulize joni aliyetaka kumuua