Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Unachukua hayo maji unayamimina kwenye kishimo cha uume wako kabla ya tendo.Kivip
Unachukua hayo maji unayamimina kwenye kishimo cha uume wako kabla ya tendo.Kivip
Dah itabidi niitafute hii maana chunusi znanisumbua sanaFluconazole ya kidonge n buku na kipo kimoja kwa box ( doze siku 7 )
Fluconazole ya kupaka haizid elftatu
imesema zisizo husiana na balehe. unajua unaweza kuwa na matatizo katika damu au tumbo reaction ya mwili ikawa kutoa chunusi?Hivi uwa kuna dawa ya chunusi kumbe
fika kwenye maduka y dawa utaambiwa ila nadhani kidonge kimoja sh 1000Dawa hiyo inauzwa shngap mkuu
hivi unajua harufu wewe? smell/odor/scenkama papuchi ya mwanamke haitoi harufu hua siizimii sana hivyo wapo tunao penda harufu ya k*
Daaah nimekumbuka kunakipindi Nilikua na fangasi sasa, nikatumia dawa fresh siku naenda kuoga ma sabuni ya magadi daaah.. Yale maumivu sijawahi yapata yangu nimezaliwa aiseeUnajua maumivu yake ukijikata ngozi ya pumb.u alafu upitishe limao? We kajarubuni muone
Ndiyo hizo nazozungumzia ambazo hazihusiani na mtu kubaleheimesema zisizo husiana na balehe. unajua unaweza kuwa na matatizo katika damu au tumbo reaction ya mwili ikawa kutoa chunusi?
Mkuu ninatokewa nachunusi usoni, mgongoni namikononi kwajuu sio nyingi sanaaa ila kinachonikera zinaniachia madoa sanaChunusi WAP mkuu unazo, na uko WAP nenda kwa maduk ya dawa za asil katafute dawa inaitwa fresh. Utarud hapa na mrejesho mkuu
Inaitwa fresh hivyo hivyo nainapatikana kwamaduka yadawa asili tu pharmacy hamna?Pia hiyo dawa inasaidia kabisa,, ni ya kunywa cku 21,,, itafute mkuu dawa haizid efkum
Haya kaka nashukuru sanaPharmacy cdhan mkuu
shabu tena, sa kwa wanaume c mbupu zitakakamaa?Bora limao na Shabu.
Tunazungumzia makwapa au mada inasemaje??shabu tena, sa kwa wanaume c mbupu zitakakamaa?