Je unamjua muimbaji huyu!

Je unamjua muimbaji huyu!

GHIBUU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
4,432
Reaction score
3,016
Leo katika safari zangu nilikutana na mtu njiani bus stop, tukawa tunapiga story hapa na pale, akaniuliza where are you origin from? Nikamwambia zanzibar, nikamuuliza have you heard that? Yah yeah, akanambia kuna muimbaji kutoka zanzibar ameshafariki,anaitwa Freddie Mercury. Nikaingia Google kumtafuta, nikapata kumuona, jee wewe ushawahi kumuona au kusikiliza nyimbo zake? Vijana wa leo kama sisi si dhani kama tunamtambua.
 

Attachments

  • 1414085206099.jpg
    1414085206099.jpg
    51.7 KB · Views: 549
ni kwel alikua ni mwanamzki toka zanzibar akiimba uingereza. na alikua maarufu kwa uimbaj wakeb bt alifariki kitambo..... na bahati mbaya alikua nikati ya wahanga wa mwanzo wa h.i.v
 
Kuna thread iliwahi kuwekwa humu miaka kadhaa iliyopita ikielezea hadi uhusika wake wa ile bar ya mercury na mambo mengi tu ktk safari yamaisha yake hapa ulimwenguni
 
Back
Top Bottom