Je, Unajua?

Kumbe kna msichana na mvulana mwenye miaka mingapi...!!??

Hv unajua kigezo cha kuitwa mwanamke au mwanaume..!? Au ni unapost tuu ili nawe tukufahamu!?

Hivi wewe hujui kigezo cha kuitwa mwanamke au mwanaume? au una-quote tu ili tu nawe uonekane umenijibu?
Wewe Fundichupi huwezi kujua hayo maana chupi za watoto na wazee hazitofautiani.
 
Last edited by a moderator:

Hapo kwenye mtazamo ndio panaondoa maana nzima ya mada...mimi nilijua ni utafiti uliohusisha hawa wanaoOna kupendwa ni Haki Yao ya msingi hapa duniani
 
Hapo kwenye mtazamo ndio panaondoa maana nzima ya mada...mimi nilijua ni utafiti uliohusisha hawa wanaoOna kupendwa ni Haki Yao ya msingi hapa duniani

Hilo neno mtazamo ni khs adhar za kuoa kiumbe wa kike mwenye 35+..

Mada yahusu inbtw 19-23 and 23-35. Ukiwa above 35 ww ni case iliyoshindikana kwa mana utakuwa na past kubwa na ndoa yako itakuwa ni ya kukutoa aibu kama sio kuchunwa vijisent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…