Ewaaa... Yaan 25 kuja juu ila asiwe 35 kuja juu. Akiwa 35+jua chances za kuzaa bila complication ni ndogo na anaelekea menopouse hvo mtabd mzae watoto wanapishana miezi au mwaka. Akiwa 25 anakuwa kapevuka na walau tayar kuwa mama na anajitahd kutulia mana anajua akicheza vibaya atazeekea kwao na atakopwa sana au hata kuliwa free papuchi kama wakati yupo 24-
*ni mtizamo wangu tuu