Je unajua mambo haya ?πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„

andazi

Member
Joined
Jun 7, 2025
Posts
54
Reaction score
231
Je unajua AKILI ndiyo kiunganishi kikubwa kati ya kile

Tunachoamini (imani/Roho)

Kile tunachofikiria ( akili)

Na kile tunachofanya ( mwili)

Namna unavyofikiria huathiri maamuzi na maamuzi huunda maisha

Tambuwa akili ni kama radio inaweza kupokea mawazo mazuri na mabaya

ILa tambua mazingira ndiyo uamua akili yako ifikirie nini
Sasa wewe jifanye mista love

Uone kama hautakuwa na mawazo mengine zaidi ya ngono tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…