Je unaitaji gari?

Je unaitaji gari?

vivios

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
244
Reaction score
9
Taja aina ya gari unaloitaji na upatiwe bei na details nyingine kwa bei che .karibu sana
 
Gari zilizopo sio used ya tz ni imported fom japan
 
Taja aina ya gari unaloitaji na upatiwe bei na details nyingine kwa bei che .karibu sana

toyota allion ya mwaka 2002
mark 2 grande ya mwaka 2002
toyota premio ya mwaka 2002
ist
vits new model
 
toyota allion ya mwaka 2002
mark 2 grande ya mwaka 2002
toyota premio ya mwaka 2002
ist
vits new model
Allion hakuna ila .ist milion 12,premio ni new model au ya zaman
 
Taja aina ya gari unaloitaji na upatiwe bei na details nyingine kwa bei che .karibu sana

Nahitaji toyota vitz au starlet glanza,lowmileage,zikiwa nyeusi zitakuwa mzuka zaidi,5doors,unayo??
 
Hiace mayai (super roof),manual,Diesel. Inahitajika haraka. Ni pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom