hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
πππ
πππkmmkSi ndo ile waliyopewa JWTZ.
Bagamoyo-Dar ilikuwa inatumia masaa 12
πππkmmkSi ndo ile waliyopewa JWTZ.
Bagamoyo-Dar ilikuwa inatumia masaa 12
πππUchawi upo .hii meli jamaa angekuwa segerea na akina rugemalila lakini yupo chamwino
πππππYes, na tuliambiwa atakayeizungumzia atakuwa ameligusa jeshi kwenye maswala ya ulinzi na usalama wa nchi.
Jeshi wana matumizi gani na meli hiyo? Huo ni ubadhirifu wa mali ya umma, haikununuliwa kwa shughuli za kijeshi.Ndiyo, mzalendo namba moja.
Bila yeye Jeshi lingepata wapi meli kubwa namna ile?
Jeshi wana matumizi gani na meli hiyo? Huo ni ubadhirifu wa mali ya umma, haikununuliwa kwa shughuli za kijeshi.
Jeshi wana matumizi gani na meli hiyo? Huo ni ubadhirifu wa mali ya umma, haikununuliwa kwa shughuli za kijeshi.
Nchi ya kijani, wanataka tuwe wa kijani kama panzi, halafu wao kuku, watudonoe hadi tuishe kabisaaaaKweli bongo bahati mbaya....
Nchi ya kijani, wanataka tuwe wa kijani kama panzi, halafu wao kuku, watudonoe hadi tuishe kabisaaaaKweli bongo bahati mbaya....
Mkuuu utupanulie tena!!!!!Maendereo hayana chama.
Mnataka niwapanulie wapi?
Msiogope ndugu zangu, au nasema uongo?Mkuuu utupanulie tena!!!!!