Je unahitaji mwenza (mke?) wa kuanza nae 2014?

Je unahitaji mwenza (mke?) wa kuanza nae 2014?

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,802
Wadau kama unahitaji mwenza wa maisha awe mwanamke au mwanaume tafadhali ni-PM na nitakuunganisha bure kabisa kwa sasa nilionao kwenye list ni wadada wanatamani kupata wenza wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea mwenye uwezo wa kiuchumi (sio kula kulala) huyo mdada anafanya shughuli zake sinza,anaishi mwenyewe na watoto wak wawili yupo tayari kupima Afya (UKIMWI) kama nawe utakuwa serious. Asante
 
Kumbe kazi ya udalali ipo mpaka kwenye mapenzi? so amekuomba umtafutie siyo?
 
Hivi kweli unataka unitafutie mume? Sijui kama inawezekana.
Ngoja niweke mambo mengine sawa nitakuja na uzi wangu hapa hapa jamvini.
 
uhaba wa job oppotunity ndio huu sasa had watu wamekuwa wajasiriamali
 
Sina umri huo ila ninajiweza kiuchumi,vp nitafikiriwa
 
Kweli mwaka mpya na mambo mapya! haya ndio sehemu ya malengo ya mwaka huu ama??
 
cna uwezo kiuchumi pia umri wangu kanizidi kidogo, kama inawezekana nchek 0712572664
 
enzi za mwalim mambo haya hayakuwepo hila sasa hivi wizi mtupu.....
 
Nipe chanel mkuu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
mhhh watoto wawili hapo ndo nouma, yaani unaanza na majukumu kabisa!!! hatari sana. Mwambie atulie tu alee watoto. Aachane na kutafuta mabwana.

Wadau kama unahitaji mwenza wa maisha awe mwanamke au mwanaume tafadhali ni-PM na nitakuunganisha bure kabisa kwa sasa nilionao kwenye list ni wadada wanatamani kupata wenza wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea mwenye uwezo wa kiuchumi (sio kula kulala) huyo mdada anafanya shughuli zake sinza,anaishi mwenyewe na watoto wak wawili yupo tayari kupima Afya (UKIMWI) kama nawe utakuwa serious. Asante
 
Back
Top Bottom