Dr Sai
Member
- Oct 2, 2019
- 41
- 52
Hi everybody,
Hope mnaimalizia weekend yenu, poa kabisa.
Hakika wapo watu wanaoendelea kuteseka kihisia, juu ya wenza wao ambao tayari walisha achana. Almaarufu kama X
Sasa nami nikaona, sio vibaya kama nikaja na msaada wa kumkomboa yule aliyopo kwenye scenario ya namna hiyo. Ila awali ya yote, nimekuja na swali linalosema:-
"...UNAHISI NI KWANINI, UNAENDELEA KUUMIA JUU YA X WAKO?...."
Note:
"Kongea kwako ndio ufunguo wa kukutoa, kwenye hiko kifungo cha MATESO YA KIHISIA".
You're welcome.
Hope mnaimalizia weekend yenu, poa kabisa.
Hakika wapo watu wanaoendelea kuteseka kihisia, juu ya wenza wao ambao tayari walisha achana. Almaarufu kama X
Sasa nami nikaona, sio vibaya kama nikaja na msaada wa kumkomboa yule aliyopo kwenye scenario ya namna hiyo. Ila awali ya yote, nimekuja na swali linalosema:-
"...UNAHISI NI KWANINI, UNAENDELEA KUUMIA JUU YA X WAKO?...."
Note:
"Kongea kwako ndio ufunguo wa kukutoa, kwenye hiko kifungo cha MATESO YA KIHISIA".
You're welcome.