Picha hii hapa chini inaweza kufupishwa kwa neno moja tuu - UNAFIKI. Eti Chenge na Sita wanatabasamu kabla ya kikao cha jana kilichowatupa nje wote!!!!
No. 1 lakini hamna lolote. Ukiwa ccm lazima uwe mnafiki na muongo..Lazima useme hapana kwenye ndiyo na ndiyo kwenye hapana ukikataa wanakushughulikia au unakuwa sio mwenzao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.