Smart Guy JF-Expert Member Dec 19, 2016 6,701 6,658 Jul 27, 2018 #4 sikumbuki mara ya mwisho kutumia huo mtandao ni lini, "by the way" shukran kwa somo zuri.
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Jul 27, 2018 #5 Ukijua kuweka Maua na Rangi mbalimbali huko FB utakuwa na utofauti gani na wenzako? Tafuta vitoto vyenzako "Hivi unahisi mtu makini anaweza kukaa na kufundishwa kupaka rangi FB na Maua"
Ukijua kuweka Maua na Rangi mbalimbali huko FB utakuwa na utofauti gani na wenzako? Tafuta vitoto vyenzako "Hivi unahisi mtu makini anaweza kukaa na kufundishwa kupaka rangi FB na Maua"
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,672 68,636 Jul 27, 2018 #6 Safi Sana mkuu,katika kuelekea uchumi wa kati na viwanda itasaidia wengi.
Meddick_Uwezo Member Jul 21, 2018 54 27 Jul 27, 2018 #7 Mbao za Mawe said: Ukijua kuweka Maua na Rangi mbalimbali huko FB utakuwa na utofauti gani na wenzako? Tafuta vitoto vyenzako "Hivi unahisi mtu makini anaweza kukaa na kufundishwa kupaka rangi FB na Maua" Click to expand... Mawe unakandia
Mbao za Mawe said: Ukijua kuweka Maua na Rangi mbalimbali huko FB utakuwa na utofauti gani na wenzako? Tafuta vitoto vyenzako "Hivi unahisi mtu makini anaweza kukaa na kufundishwa kupaka rangi FB na Maua" Click to expand... Mawe unakandia