Ah me siwez...nikikushirikisha na siku ya kuvunja utataka nikupe 200k..haihu babu we!Ila kama mke kamshirikisha mume naona kidogo kuna unafuu kuliko ya kimya kimya
Kweli lakiniKuna leo na kesh.
Bora pesa yako ale mmeo na watoto kuliko kuila mwenyekiti