Je, una imani na serikali ya Tanzania?

Je, una imani na serikali ya Tanzania?

Kuna umuhimu wa kuingia msituni. Au kuwa gaidi.

mkuu wameagiza midege kibao mibunduk usiseme kwa ii kaul yako ungekua karibu na ungekuta ushapigwa gun ya tak* wako tayar kuangamiza chochote kinachohatarisha utawala wao mkuu
 
Bora enzi za ukoloni wa mtu mweupe kuliko enzi za mkoloni mweusi, SINA IMANI KABISA NA CCM NA SERIKALI YAKE, 2015-CCM MUST GO...
 
Ni heri kuishi Sudan au Somalia na Congo kwenye vita kuliko kuishi hapa Tanganyika chini ya serikali dhalimu, kandamizi na ya kipumbavu kama hii ya CCM!
 
akuna vita ya mabanduk na masas kudkogo hi njala natuumisaga uku wakulu nakulagha mikuku l"paree longndon
 
mimi nilipoteza imani tangu 2005 hadi wa leo.
 
Sina imani...maana kz yao ni kuuza raslimali zetu tu kwa watu weupe...
 
IMANI IWEPO ISIWEPO HAITULETEI UGALI KWA MEZA!:angry:
 
Sina imani na hii serikali dhaifu ya kifisadi
 
hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuwa na imani na serikali ya ccm.
 
Back
Top Bottom