Je, una imani na serikali ya Tanzania?

Je, una imani na serikali ya Tanzania?

HNIC

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
1,898
Reaction score
2,202
Ma GREAT THINKERS.

Swali jepesi ambalo naomba kuuliza wana jamvi hili.

Je mna imani na serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo inaongozwa na CHAMA CHA MAPINDUZI?
 
Hata Sijaona wa kumuamini kwenye hii serikali,Kila mmoja anatumia cheo alichonacho kufanya yanayomfurahisha yy na wanaomhusu,Sisi Wakina kalagabaho siku inapita kwa kubahatisha.
 
Kwa mtazamo wangu kama raia ninayejaribu kujifunza na kuelewa siasa zetu.

1. Serikali yetu inaongozwa na watu kwa kivuli cha chama ambacho hakina uwezo wowote wa kuiwajibisha Serikali endapo itakiuka misingi yake.

2. Kwa msingi huo hapo juu raia tulio wengi hatuna imani na vyama tena , iwe chama tawala au upinzani. Bali tunaimani na baadhi ya watu wachache ndani ya vyama hivyo wanaoonyesha dhamira ya dhati ya kuleta mabadiliko.

3. Sera za vyama vyote ni nzuri isipokua utekelezaji wake ni wa ovyo endapo tathmini itafanyika kwa wote utagundua hilo.

4. Waliopo katika uongozi hatuwataki na wanaotaka tuwape uongozi hatuwaamini.

5. Tunahitaji mfumo mpya wa kuandaa viongozi bora na sio tu bora viongozi na tamaa zao za kutaka madaraka. Mfumo wa sasa haumpi nafasi kiongozi bora kutokana na rushwa na upendeleo ulio kithiri ndani na nje ya chama tawala. THE ONLY MOTIVE THEY HAVE IS TO POSSESSING POWER.
 
Sina kabisa! Our shiiling has drastically depreciated and prices of goods and services have started being quoted in usd dollars. What a shame!

The simple reason for the depreciation is: Corruption at the BoT and the Government!

Tough times to continue!
 
Itatoka wapi hiyo imani? Unaziamini kazi za kichina?
 
ni serikal i ya kihuni...sina wala sitakuwa na imani nayo...majanga!
 
mimi kutokuwa ma imani haitoshi..Najuta kuzaliwa Tanzania..
 
mi naichukia kiliko sawa sawasawa na shetani
 
Bado hujahama hapa nchini unasubiri nini.

Nimeihama nchi yenu ya Simiyu laini bado nipo Tanganyikampaka ikifufuka ndo utaniona kwa urahisi, maana vipofu kama ninyi wala hauwezikuona nikiwa bd naili Tanganyika yangu. Ndo maana mnachinjana maana nchi yenu haina roho kama ya Tanganyika.
 
Wewe unaishi nchi ga

nchi ya simiyu ambayo sifa zake ni kwamba wananch wake ni maskin sana na wajinga kupita kias maradh yanawaandama kwa ajili ya wanafunz na walim bado wanakunya porini nch hii ya kiimla ukiwa mfalume unamilik kila kitu yan mal zote watu wote yan hata wake zao ni mal yako maziwa asal zilizopo apa ww ndo unaamua umpe nan?wanao wanafanya wanachotaka wanakusanya mali wanavyotaka na wanajiandaa kuchukua madaraka ila kikubwa zaid ni ile ngoma ya vigor inapopigwa mfalume wetu hua anahusudu mno atajiokotea kigol moja na kwenda nacho ng'ambo uk,china,usa,dubay,french,jeman, na sehem kibao ana vyumba vya kudumu kwa ajil ya kaz hiyo HI NDO NCH NINAYOISH NA NNA IMAN NAYO MKUU
 
Back
Top Bottom