Mdogo wake ana miaka 78Kwa hiyo wataalamu wanamjua zaidi kuliko yeye anavyojijua? wao ndo walimzaa?
Hivi huyu ndio aliwaambia kama wanataka kujua afya yake ikoje wakamuulize mkewe.Kwa hiyo wataalamu wanamjua zaidi kuliko yeye anavyojijua? wao ndo walimzaa?
Mkuu si wataalamu wanasoma historia tangu wakati alipojiunga na FRELIMO kupigania uhuru wa Mozambique, akarudi Dar akajiunga na jeshi la Tanzania wakachapa Amini na haiwezekani kuwa alikuwa wakati huo na miaka chini ya kumi na tano.Kwa hiyo wataalamu wanamjua zaidi kuliko yeye anavyojijua? wao ndo walimzaa?
cha kushangaza inasemekana mdogo wake huyo ndio aliekua kidato cha sita wakati yeye alikua chuo cha Dar na ndani ya msimamo wa FRELIMO Mozambique.Mdogo wake ana miaka 78