Unajua kuna tofauti kati ya kukata tamaa na kukubali matokeo.
Katika maisha unaweza ukazaliwa mzima kabisa yaani sio mlemavu wa kiungo chochote cha mwili, na ukaona mtu aliyezaliwa mlemavu labda ni kama ana wakati mgumu kidogo maishani tofauti na wewe kumbe sivyo.
Sasa kuna wakati mtu unapitia changamoto nyingi saana kwenye maisha yako na unapambana saana
Lakini bado mambo yanakuwa magumu,, inafika kipindi unajiuliza 'ivi hii ni changamoto au ndio maisha yangu halisi'
Back to the topic,, kama vijana wengine wengi, mimi pia nilikuwa na ndoto zangu,,
Nimepitia changamoto nyingi saana za kunikatisha tamaa,, changamoto za kuniumiza,, za kunirudisha nyuma na hadi sasa nipo katika middle 20's, lakini kila nikijitathimini bado sioni muelekeo mzuri wa maisha yangu.
Nimejihidi sana kumuomba Mungu, (namshukuru sana Mungu kwa hapa aliponifikisha) lakini bado changamoto haziishi na kibaya changamoto ni zile zile,,sasa inafika muda kama binadamu nachoka.
Naanza kuhisi labda haya ndio maisha yangu,, lakini inakuwa vigumu kukubali.
Nafanya sana kazi, najituma sana, lakini bado siendelei na ikitokea nimepiga hatua basi ni kidogo sana na kwa nguvu kubwa sana. Changamoto ni nyingi saana siwezi kuziweka zote hapa
Kwa kweli inahuzunisha sana.
Kama na wewe unapita changamoto kwa muda mrefu hadi unahisi labda ndio maisha yako,, unaweza ukashea nasi, karibu..
Katika maisha unaweza ukazaliwa mzima kabisa yaani sio mlemavu wa kiungo chochote cha mwili, na ukaona mtu aliyezaliwa mlemavu labda ni kama ana wakati mgumu kidogo maishani tofauti na wewe kumbe sivyo.
Sasa kuna wakati mtu unapitia changamoto nyingi saana kwenye maisha yako na unapambana saana
Lakini bado mambo yanakuwa magumu,, inafika kipindi unajiuliza 'ivi hii ni changamoto au ndio maisha yangu halisi'
Back to the topic,, kama vijana wengine wengi, mimi pia nilikuwa na ndoto zangu,,
Nimepitia changamoto nyingi saana za kunikatisha tamaa,, changamoto za kuniumiza,, za kunirudisha nyuma na hadi sasa nipo katika middle 20's, lakini kila nikijitathimini bado sioni muelekeo mzuri wa maisha yangu.
Nimejihidi sana kumuomba Mungu, (namshukuru sana Mungu kwa hapa aliponifikisha) lakini bado changamoto haziishi na kibaya changamoto ni zile zile,,sasa inafika muda kama binadamu nachoka.
Naanza kuhisi labda haya ndio maisha yangu,, lakini inakuwa vigumu kukubali.
Nafanya sana kazi, najituma sana, lakini bado siendelei na ikitokea nimepiga hatua basi ni kidogo sana na kwa nguvu kubwa sana. Changamoto ni nyingi saana siwezi kuziweka zote hapa
Kwa kweli inahuzunisha sana.
Kama na wewe unapita changamoto kwa muda mrefu hadi unahisi labda ndio maisha yako,, unaweza ukashea nasi, karibu..