Je, umeombwa radhi na kampuni unayotumia huduma yake kwa tatizo la mtandao au wanakuona mbwa?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,069
10,012
Baafhi ya kampuni zimekuwa zikiwatumia wateja ujumbe kuwajulisha tatizo la umeme. Nadhani ni suala la kiuungwana sana. Mimi nimetumiwa ujumbe na kampuni ya mawasiliano ninayotumia, na kuna huduma nyingine nimetumiwa ujumbe pia.

Kwa kweli nimejisikia faraja. Je umepata ujumbe wa huduma yoyote unayoitumia kuhusu tatizo lililopo au wamekuona mbwa mmoja hustahili kuambiwa. Share screenshot.

Screenshot_20240514_064538_Messages.jpg
 
Tena ninayebweka "wu wu wu"
Kuomba radhi bila kufidia vifurushi vyetu vilivyoteketa bila kutumika, ni wizi tu.
 
Mimi Vodacom bado hawajatuma. Najaribu kununua Online AliExpress nashindwa
 
Baafhi ya kampuni zimekuwa zikiwatumia wateja ujumbe kuwajulisha tatizo la umeme. Nadhani ni suala la kiuungwana sana. Mimi nimetumiwa ujumbe na kampuni ya mawasiliano ninayotumia, na kuna huduma nyingine nimetumiwa ujumbe pia.

Kwa kweli nimejisikia faraja. Je umepata ujumbe wa huduma yoyote unayoitumia kuhusu tatizo lililopo au wamekuona mbwa mmoja hustahili kuambiwa. Share screenshot.

View attachment 2989664
Tigo hao mda wot wanatuma msg tuu za kuomba radhi
Si wanipe data za bure
 
Baafhi ya kampuni zimekuwa zikiwatumia wateja ujumbe kuwajulisha tatizo la umeme. Nadhani ni suala la kiuungwana sana. Mimi nimetumiwa ujumbe na kampuni ya mawasiliano ninayotumia, na kuna huduma nyingine nimetumiwa ujumbe pia.

Kwa kweli nimejisikia faraja. Je umepata ujumbe wa huduma yoyote unayoitumia kuhusu tatizo lililopo au wamekuona mbwa mmoja hustahili kuambiwa. Share screenshot.

View attachment 2989664
Mimi Vodacom bado hawajatuma. Najaribu kununua Online AliExpress nashindwa. Napata Tu msg ya oops no internet 🙆🙆
 
Serikali inabidi kusimamia hili jambo tulipwe stahiki zetu na siyo maswala ya kuombana radhi kwenye maswala ya pesa
Kuna vifurushi vya siku ambavyo vimepotea bila kutumika baada ya network kupotea
Wenye mamlaka wasimamie hili

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
CRDB kwangu hawajatuma ujumbe wowote

Absa wamenitumia Jana asubuhi.

Tigo & Airtel mpaka sasa bila bila
 
Mpendwa mteja; Tunaomba radhi kwa kukosekana baadhi ya huduma kufuatia hitilafu za mtandao wa intaneti. Juhudi za marekebisho zinaendelea.Tembelea matawi yetu au tupigie 0800711177 kupata huduma.

NBC wamenitumia leo, ila CRDB na NMB naona wametulia tu Tigo nao wamejifanya vipofu
 
Back
Top Bottom