The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Tunapitia maisha magumu mpaka tunaamini waliokufa wamepumzika. Lau viongoz wetu wangejali watoto wa kimasikin leo ingekua tuna afadhal njaa, maradhi, nguo na viraka na kila aina ya taabu lakin nan anajali na nani alaumiwe