Je, umasikini ni laana?

Je, umasikini ni laana?

The Zanzibar Echo

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2025
Posts
490
Reaction score
836
Tunapitia maisha magumu mpaka tunaamini waliokufa wamepumzika. Lau viongoz wetu wangejali watoto wa kimasikin leo ingekua tuna afadhal njaa, maradhi, nguo na viraka na kila aina ya taabu lakin nan anajali na nani alaumiwe
3195909460562508209.jpg.png
 
Nawaomben wenye uwezo Ata kidogo mtembele vituo vya kulelea mayatima Kama hasa hivi vilokuepo vijijini kama hutotokwa na machozi tofauti yako na bilisi ni pembe tu
 
Unajidanganya mkuu Kuna watu wana fight for their whole life na bado wanakufa masikin
Kwanini upambane na umasikini? Hapo ndio kosa linafanyika hupaswi kupambana, unachopambana nacho ndicho kinakufuata.

Badala ya ku focus kwenye umasikini kwaninni usifikirie utajiri? Aliwazalo mjinga ndio linalomtokea.

Badilisha mitazamo, mienendo na fikra zako mambo yatabadilika.
 
Tunapitia maisha magumu mpaka tunaamini waliokufa wamepumzika. Lau viongoz wetu wangejali watoto wa kimasikin leo ingekua tuna afadhal njaa, maradhi, nguo na viraka na kila aina ya taabu lakin nan anajali na nani alaumiweView attachment 3340262
Picha hii ndio real definition of poverty, wako wapi Hawa nikatoe chochote kitu...wanatia huruma sana!
 
Nawaomben wenye uwezo Ata kidogo mtembele vituo vya kulelea mayatima Kama hasa hivi vilokuepo vijijini kama hutotokwa na machozi tofauti yako na bilisi ni pembe tu
Ungeenda mbali zaidi Kwa kutaja angalau vituo kadhaa unavyovijua vilivyopo maeneo ya vijijini ungekuwa umesaidia sana! Kuna watu tuliishaacha kutoa kwenye nyumba za ibada, matoleo yetu tunaelekeza Kwa yatima hasa wanaoteseka
 
Ungeenda mbali zaidi Kwa kutaja angalau vituo kadhaa unavyovijua vilivyopo maeneo ya vijijini ungekuwa umesaidia sana! Kuna watu tuliishaacha kutoa kwenye nyumba za ibada, matoleo yetu tunaelekeza Kwa yatima hasa wanaoteseka
Apa chuo tuna utaratibu wa kuchangia na kuepeleka kwa watoto mayatima yoyote anahitaji kutoa ni rahisi sana mbona naweza kumpa namba za account
 
Apa chuo tuna utaratibu wa kuchangia na kuepeleka kwa watoto mayatima yoyote anahitaji kutoa ni rahisi sana mbona naweza kumpa namba za account
Mm na marafiki zangu tunapenda kwenda kutoa directly kituoni..Kwa kufanya hivyo tunapata hamasa ya kuendelea kutoa coz
twajionea wenyewe magumu wanayopitia watoto.
 
Kwanini upambane na umasikini? Hapo ndio kosa linafanyika hupaswi kupambana, unachopambana nacho ndicho kinakufuata.

Badala ya ku focus kwenye umasikini kwaninni usifikirie utajiri? Aliwazalo mjinga ndio linalomtokea.

Badilisha mitazamo, mienendo na fikra zako mambo yatabadilika.
Una nadharia yoyote ya kisayansi inayoelezea mchakato wa kuondokana na umaskini wa mtu mmoja mmoja?
 
Back
Top Bottom