Je, uko mkoan unafanya biashara ya vifaa vya simu pitia hapa

Je, uko mkoan unafanya biashara ya vifaa vya simu pitia hapa

sizonjemadawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2017
Posts
1,052
Reaction score
1,306
Tunauza na kutuma vifaa vya simu kama vile screen protector, charger, cover, housing, n.k kama uko mkoan na unahitaji tafadhali ni p.m

Huduma hii kwa mikoa ya kusini pekee yaan lindi na Mtwara

pesa utalipa baada ya mzigo kukufikia,

Unachotakiwa kufanya ni kunipm kisha nakukutanisha na wakala wangu kwa mikoa ya Lindi na Mtwara, unaniambia list ya bidhaa unazotaka then mimi namtumia wakala wangu unamlipa yeye ananitumia mm pesa


Kama unajitaji bidhaa nyingine tofauti na mobile accessor ni pm pia kwa kuondoa usumbufu wa kuja dsm na kurud mkoani

Note
Napokea order kuanzia pcs 100 na bei ni rahisi mn
 
Kwani na wewe haupo mkoani??? Au upo nje ya Tz?? Maana tz ina mikoa mingi tu...sasa we unasema wa mkoani wa mkoani....we uko wapi kwani
 
Back
Top Bottom