Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Wadau naomba kuuliza unapoenda kuripoti kituo kipya baada ya tamisemi kukuruhusu kuhamia mkoa mwingine je barua ya utambuliasho unaipata WAP?kwa ajir ya kwenda kumpa boss wako Wa kituo kipya.
Msaada tafadhar
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada tafadhar
Sent using Jamii Forums mobile app