Swali ni jepesi tu;
Ikiwa utalipiwa kila kitu, yaani tiketi ya kwenda na kurejea unapoishi, malazi kwenye hotel ya hadhi nzuri kwa wiki mbili, chakula na fedha ya ziada kwa ajili ya kutalii, ukaambiwa uchague nchi ambayo kila mwaka utakuwa unakwenda hiyo hiyo bila kubadili mpaka kifo chako, utachagua nchi gani? Naomba ujibu kwa kuandika jina la nchi na sababu ya chaguo lako.
Ikiwa utalipiwa kila kitu, yaani tiketi ya kwenda na kurejea unapoishi, malazi kwenye hotel ya hadhi nzuri kwa wiki mbili, chakula na fedha ya ziada kwa ajili ya kutalii, ukaambiwa uchague nchi ambayo kila mwaka utakuwa unakwenda hiyo hiyo bila kubadili mpaka kifo chako, utachagua nchi gani? Naomba ujibu kwa kuandika jina la nchi na sababu ya chaguo lako.